Kuna haja ya kumuomba Hayati Dkt. Magufuli msamaha; kama taifa kuna sehemu tumekosea sana

Ni Ushenzi tu Umeandika.....
 
Kwa kweli
Your browser is not able to display this video.
 
Mungu akusaidie. Akuondolee hii chuki moyoni mwako. Maana hujui ulitendalo bali chuki ndo inaongoza akili yako.
 
Mungu akusaidie. Akuondolee hii chuki moyoni mwako. Maana hujui ulitendalo bali chuki ndo inaongoza akili yako.
Mwenye chuki ni Magufuli ambae alikuwa anatukana Watanzania wa Mungu kuwa wabaki na mavi yao nyumbani.Wewe inaonekana kichwani kwako kuna kipande kikubwa sana cha ujinga wa kutokufuatilia masuala ya nchi hii.
 
Kayafa mwendazake umuombe msamaha anakusikia? Kashajifia zake.
Tena kama ingekua wafu wanasikia yeye ndo ingebidi atuombe msamaha.
Acha utopolo.
 

Kwa jamii forum ya siku hizi nyuzi za namna hii utaishia kutukanwa tu

wadau wamekaa kiushabiki sana kuliko ukweli

over
 
Na amewasulubu barabara mafisadi na wapinzani uchwara
HEKO MAGUFULI,mi mshabiki wako
 
Rais Samia anadanganya kusema uchumi umeshuka????
 
Mods ondoeni huu ujinga basi au? Mnafanya jf inashuka Hadhi kwa kuweka mijadala ya kijinga
 
Haya ingia bafuni ufute machozi... unawe na maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…