Tesla Motors
Member
- Nov 26, 2017
- 62
- 26
Habari za asubuhi Mdugu
nilishawahi kusex na mwanamke HiV positive nikapima baada ya miezi mitatu nikawa negative!
baada ya hapo sikuwahi kusex peku tena lakini pamoja na kutumia condom kwa ufasaha najikuta sijiamini yani nina hofu hata kupima tena! naogopa
je kuna haja ya kupima wakati nasex kwa kutumia condom?
U P D A T E S
Kuna watu wanauliza nilipima wapi? waheshimiwa nilipima katika hospitali kubwa tu ya kikanda na baada ya kuambiwa nipo sawa sikupewa ushauri wowote!
kwa maana baada ya kujua exposure nilipima baada ya week 8 negative nkarudia baada ya week zingine 4 jumla 12 bado ikawa negative!
tatizo linakuja nakuwa na hofu kwa maaana baada ya hapo nilshasex mara kadhaa japo kwa kutumia kinga kwa uangalifu.
Nipeni Maoni yenu
nilishawahi kusex na mwanamke HiV positive nikapima baada ya miezi mitatu nikawa negative!
baada ya hapo sikuwahi kusex peku tena lakini pamoja na kutumia condom kwa ufasaha najikuta sijiamini yani nina hofu hata kupima tena! naogopa
je kuna haja ya kupima wakati nasex kwa kutumia condom?
U P D A T E S
Kuna watu wanauliza nilipima wapi? waheshimiwa nilipima katika hospitali kubwa tu ya kikanda na baada ya kuambiwa nipo sawa sikupewa ushauri wowote!
kwa maana baada ya kujua exposure nilipima baada ya week 8 negative nkarudia baada ya week zingine 4 jumla 12 bado ikawa negative!
tatizo linakuja nakuwa na hofu kwa maaana baada ya hapo nilshasex mara kadhaa japo kwa kutumia kinga kwa uangalifu.
Nipeni Maoni yenu