Kuna haja ya kutoa elimu zaidi juu ya ushonaji wa Barakoa

Kuna haja ya kutoa elimu zaidi juu ya ushonaji wa Barakoa

Victor Mlaki

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
4,151
Reaction score
4,277
Leo nimejaribu kupita katika kituo kimoja cha Afya na nilichokiona ni msisitizo mkubwa wa uvaaji wa Barakoa huku zikiuzwa mlangoni kiholela lakini shida yake kubwa ni mikanda yake ya masikio kuwa mifupi kiasi cha kupata masikio ya watu na kuyabinua kama ya punda.

20200526_094746.jpg
 
Back
Top Bottom