Kuna Haja ya kuwasomea Albadil hawa Wayahudi.

Kuna Haja ya kuwasomea Albadil hawa Wayahudi.

Sodoku

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2016
Posts
1,271
Reaction score
2,903
Mi ndo naona hili ndo lililobakia.kwa kipindi hiki wakati nchi za Kiarabu zikijipanga kuishambulia Israel.

Najua kwa sasa. Yemen,Iran,Palestine, Syria zitakuwa na vikao kujipanga.
 
Kabisa Mkuu.
Sema Waarabu wana roho za paka akianani. Sio kwa kupambana huko.
Nikiangalia jinsi Gaza ilivyosambaratishwa na kufanywa vifusi ingalikuwq ni watu wengine wangerudisha Tu mateka kisha wanakaa mezani na kuzungumza na Israel ili wamalizane. Ila jamaa bado wanapambana tu.
Nikiangalia jinsi Israel walivyomuua Kiongozi wa Hamas akiwa nchini Irani tena eneo la jeshi nilitegemea Irani amuogope Sana Israel na kukaa chini kujitafakari na kujipanga. Ila bado jamaa anatunisha msuli.
Nikiangalia jinsi Kiongozi wa Hezbollah alivyouwawa chini ya Ardhi almost 30Meter deep na kuuwawa Kwa makamanda wa Hezbollah nilitarajia jamaa wachutame na kumalizana na Israel. Ila ndio kwanza bado wanarusha makombora tuu.
Nikiangalia jinsi rockets na missile zinarushwa kwenda isarel zinavyozibitiwa na Israel na kusababisha maafa madogo basi nilitegemea jamaa warudi mezani maana hakuna impact yeyote kwenye jitihada zao za kuipiga Israel.
Kweli nimeamini Waarabu wana roho ngumu sana. Ndio maana ilikuwa rahisi hata kueneza Dini yao kwa Upanga.
 
Haina haja ya albadir huo ni ushirikina hii mbungi itaenda kwa miaka kadhaa popote alipo houthi kuna jambo linakuja sina shaka kabisa.
 
Back
Top Bottom