Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Kumekua na matukio mengi sana kwa watu kuuliwa maeneo mbali mbali nchini kuanzia mwishoni mwa mwaka 2021 hadi leo hii kila siku yanaibuka mauaji sababu zikiwa wivu wa mapenzi,dhuluma,tamaa ya mali na hasira.
Binafsi naona kwa hali ilivyo sasa uhai wa binadamu umekua kitu cha kuchezea kama kumkanyaga sisimizi licha ya nchi nyingi kuipinga adhabu hii na wanaharakati wa kutetea haki za binadamu naona kwa sasa ni muda wa kuanza kuitumia hii adhabu matukio ni mengi kila siku kila kona ya nchi.
Naona watu hawaogopi kwenda condemn wanajua watakaa badae watabadilishiwa adhabu na kua kifungo cha maisha sasa ni muda wa kuanza kuitekeleza adhabu hii ili kupunguza ukatili huu.
Binafsi naona kwa hali ilivyo sasa uhai wa binadamu umekua kitu cha kuchezea kama kumkanyaga sisimizi licha ya nchi nyingi kuipinga adhabu hii na wanaharakati wa kutetea haki za binadamu naona kwa sasa ni muda wa kuanza kuitumia hii adhabu matukio ni mengi kila siku kila kona ya nchi.
Naona watu hawaogopi kwenda condemn wanajua watakaa badae watabadilishiwa adhabu na kua kifungo cha maisha sasa ni muda wa kuanza kuitekeleza adhabu hii ili kupunguza ukatili huu.