kishumbaz
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,183
- 1,619
Kwa jinsi wapenda mpira tunavyoumizwa, kuna haja ya serikali kuingilia kati katika uchaguzi ujao.
Tunajua jana TFF waliwaangushia jumba bovu serikali, kotokana na conflict of interest zao, sababu mazingira ya lile tamko lao lilionyesha dhahiri kama waliwatengenezea Bomu serikali liwalipukie wenyewe.
Sasa wapenzi wa mpira tumechoka na huu ujinga ujinga, tunaomba serikali uchaguzi ujao, watuwekee watu wenye weledi na uchungu na mpira wetu na wenye explosure kimataifa, mfano kama yule mmiliki wa Mbao aliyekuwa kocha kwenye vilabu vya England na akawa mkurugenzi wa michezo, akina Kali Ongala, Kina Mzee Oscar Koloso nk.
Tunajua jana TFF waliwaangushia jumba bovu serikali, kotokana na conflict of interest zao, sababu mazingira ya lile tamko lao lilionyesha dhahiri kama waliwatengenezea Bomu serikali liwalipukie wenyewe.
Sasa wapenzi wa mpira tumechoka na huu ujinga ujinga, tunaomba serikali uchaguzi ujao, watuwekee watu wenye weledi na uchungu na mpira wetu na wenye explosure kimataifa, mfano kama yule mmiliki wa Mbao aliyekuwa kocha kwenye vilabu vya England na akawa mkurugenzi wa michezo, akina Kali Ongala, Kina Mzee Oscar Koloso nk.