Kuna Haja Ya Sheria ya Kudhibiti Matumizi Binafsi ya Simu?

Kuna Haja Ya Sheria ya Kudhibiti Matumizi Binafsi ya Simu?

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Wahenga wanasema hakuna masika yasiyokuwa na mbu, kwa haya yanayotokea miongoni mwetu si vibaya kufanya tafakuri ya mustakabali wa yote haya...yamkini kuna wengi ambao ndoa zimevnjika, mapenzi yamekoma,wakosa viungo mbalimbali au kujeruhiwa kiakili, kiuchumi, kimwili, na au kisaikolojia kutokana na simu aidha kwa wivu au kwa hisia, kwa kuwa hii ni kama changamoto mpya ndani ya mahusiano yetu, wadau hamuoni kwamba kuna haja ya kuwa na tafakuri tunduizi katika hili?
 
Back
Top Bottom