Kuna haja ya Tanzania kupitisha hukumu ya kunyongwa hadi kufa kwa watuhumiwa wa vitendo vya kikatili

Kuna haja ya Tanzania kupitisha hukumu ya kunyongwa hadi kufa kwa watuhumiwa wa vitendo vya kikatili

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Serikali itazame hili suala kwa jicho la tatu, ukatili unaoendelea katika jamii ni unyama wa hali ya juu, watoto wadogo kubakwa na kulawitiwa paka kufa (mtoto wa miezi sita DODOMA), mauaji ya binadamu(Mganga aliyepatikana na miili ya watu aliowazika hai), watu kupotea katika mazingira tatanishi, Mauaji ya Albino(mtoto ASIMWE),

Wanawake kutendewa ukatili wa kijinsia,(binti wa yombo dovya), ukatili unaoendelea katika jamii unatosha kwa serikali kupitisha hukumu ya wahalifu hawa wa ukatili (cold blooded murders) wasiishie kuhukumiwa tu kifungo cha maisha na baadae kutoka gerezani kwa msamaha wa Rais , wanastahili hukumu ya kifo kama wanavyotelekeza nchi zingine duniani kwa wahalifu wa namna hii. kwa sababu wanakua wamedhulumu nafsi za watu, wamekatisha malengo ya watu, na wamekatisha uhai vilevile.

Soma Pia:
NB, ni mawazo yangu tu
 
Serikali itazame hili suala kwa jicho la tatu, ukatili unaoendelea katika jamii ni unyama wa hali ya juu, watoto wadogo kubakwa na kulawitiwa paka kufa (mtoto wa miezi sita DODOMA), mauaji ya binadamu(Mganga aliyepatikana na miili ya watu aliowazika hai), watu kupotea katika mazingira tatanishi, Mauaji ya Albino(mtoto ASIMWE), wanawake kutendewa ukatili wa kijinsia,(binti wa yombo dovya), ukatili unaoendelea katika jamii unatosha kwa serikali kupitisha hukumu ya wahalifu hawa wa ukatili (cold blooded murders) wasiishie kuhukumiwa tu kifungo cha maisha na baadae kutoka gerezani kwa msamaa wa Rais , wanastahili hukumu ya kifo kama wanavyotelekeza nchi zingine duniani kwa wahalifu wa namna hii. kwa sababu wanakua wamedhulumu nafsi za watu, wamekatisha malengo ya watu, na wamekatisha uhai vilevile.



NB, ni mawazo yangu tu
Upo sahihi
 
Back
Top Bottom