Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
TRA wanafanya kazi kubwa sana kuelimisha na kupambana na watu ili walipekodi/wasikwepe kodi
Hata hivyo changamoto kubwa ni watu kukosa Elimu ya kodi tangia huku chini.
Muarobaini wa Kukwepa kodi na mikopo umiza ni kuelimisha watu kuanzia huku chini.
Napendekeza;
1. Waongeze topic ya umuhimu wa kulipa kodi kwa hiari kwenye somo la civic & moral
2. Waongeze topic kwenye Hisababati ya mahesabu ya kodi (VAT) nk kwani ni marahisi/yanafundishika
3. Yote hayo yatawezekana kama wata ajiri waalimu wa Hesabu kwani bila hivyo, hilo halitatekelezeka.
Hata hivyo changamoto kubwa ni watu kukosa Elimu ya kodi tangia huku chini.
Muarobaini wa Kukwepa kodi na mikopo umiza ni kuelimisha watu kuanzia huku chini.
Napendekeza;
1. Waongeze topic ya umuhimu wa kulipa kodi kwa hiari kwenye somo la civic & moral
2. Waongeze topic kwenye Hisababati ya mahesabu ya kodi (VAT) nk kwani ni marahisi/yanafundishika
3. Yote hayo yatawezekana kama wata ajiri waalimu wa Hesabu kwani bila hivyo, hilo halitatekelezeka.