Kuna haja ya topic ya umuhimu wa kodi na hesabu zake iongezwe kwenye shule za msingi

Kuna haja ya topic ya umuhimu wa kodi na hesabu zake iongezwe kwenye shule za msingi

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
TRA wanafanya kazi kubwa sana kuelimisha na kupambana na watu ili walipekodi/wasikwepe kodi
Hata hivyo changamoto kubwa ni watu kukosa Elimu ya kodi tangia huku chini.

Muarobaini wa Kukwepa kodi na mikopo umiza ni kuelimisha watu kuanzia huku chini.
Napendekeza;

1. Waongeze topic ya umuhimu wa kulipa kodi kwa hiari kwenye somo la civic & moral
2. Waongeze topic kwenye Hisababati ya mahesabu ya kodi (VAT) nk kwani ni marahisi/yanafundishika
3. Yote hayo yatawezekana kama wata ajiri waalimu wa Hesabu kwani bila hivyo, hilo halitatekelezeka.
 
Na wafundishwe namna viongozi wakubwa wanavyoiba Kodi na kujinufaisha wao.mfano Afisa wa TRA alikutwa ameweka nyumbani kwake Kodi zetu bilioni saba kwenye gunia Kwa ajili ya ujenzi wa jumba lake na ununuzi wa magari yake binafsi ya kisasaV8GXR wakati huohuo walala hoi wanasisitizwa walipe kodi
 
Back
Top Bottom