mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,072
- 12,119
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeangalia hata body language zao inaonyesha wapo kimwili na mama ila kiroho wapo mbali nayeTuko kwenye awamu ya timu shindani kuelekea 2025. Ni mwendo wa kuwindana na kukamiana
Timu ziko mbili Pwani ya Kiwengwa(wazee wa beach Kidimbwi na Wabara Incorporation Ltd (Wazee wa genge)
Ni wakati tunaelekea half time Pwani ya kiwenga wamepiga 3bila. Waliwaotea wazee wa genge[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Tukirudi mapumziko mtanange utaanza upya! [emoji23]
Na kiwango cha kutoaminiana kimeongezeka mara dufuNimeangalia hata body language zao inaonyesha wapo kimwili na mama ila kiroho wapo mbali naye
Mzee wa Pwani alipona busha?Tuko kwenye awamu ya timu shindani kuelekea 2025. Ni mwendo wa kuwindana na kukamiana
Timu ziko mbili Pwani ya Kiwengwa(wazee wa beach Kidimbwi na Wabara Incorporation Ltd (Wazee wa genge)
Ni wakati tunaelekea half time Pwani ya kiwenga wamepiga 3bila. Waliwaotea wazee wa genge[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Tukirudi mapumziko mtanange utaanza upya! [emoji23]
Kwa raia au Mwananchi wa kawaida nawajali nini? Au kuwa wahurumia Je, wao wanakuhurumia?Niko hapa muda fulani naangalia TBC kwa kinachoendelea kwenye zoezi la kuapisha viongozi wapya Dodoma. Kiukweli naona viongozi walioongea naona wengi wao hawana ule uchangamfu wa usoni.kuna Kaunyonge fulani miongoni mwao I don't know what's wrong
Copy aione Mshana Jr
Tezi.. Yuko njema fit kalikiti anadundamzee wa pwani alipona busha?