Kuna Halmashauri zinawaweka watu fulani kujaza alama. Score za Pepmis huu ni uhuni

Kuna Halmashauri zinawaweka watu fulani kujaza alama. Score za Pepmis huu ni uhuni

Doto12

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
640
Reaction score
1,141
Kiuhalisia mfumo huu ulipaswa uwe unapandisha score automatically baada ya mtumishi kupandisha asilimia zake na mkuu wa kitengo ku approve.

Sasa badala yake kunamtu amekaa amewekwa awe anapandisha score baada ya approval ya mkuu wa unit.

Serikali hapa imebugi human akikaa sehem lazima anapendelea. Ana madhaifu, wkt mwingine hata jina tu linamfanya ampe score ya juu au anyime alama stahili.

Muliotengeneza huu mfumo ess. Mulipaswa kuweka code zenu zimpe alama mtu automatically baada ya kujaza kazi zake.

Halmashauri hizo zinajijua
 
Wameuchukua India, kama ulivyo.
The same to opras! Na yenyewe ilikuwa ni takataka tu. Watumishi walikuwa wanalazimishwa kujaza ili tu kumfurahisha mwajiri! Ila ukija kwenye uhalisia, hakukuwepo na uhusiano wowote wa kujaza, na matokeo halisi kwenye maeneo ta kazi.
 
Back
Top Bottom