Kuna harufu ya upigwaji Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo malipo ya Anwani za Makazi

Kuna harufu ya upigwaji Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo malipo ya Anwani za Makazi

Hizo jero jero ni speed yako kuhesabu nyumba[emoji81][emoji81]wtf
923943785.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bagamoyo tenaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Hata zile za covid 19 wamepiga.
Na kuna mafundi wametapeliwa
 
Duh Malipo 500? Huu ni unyonyaji uliopitiliza.
 
Ni mfumo sahihi sana kwa nature ya ufanyaji kazi kwa Mtanzania
Ukiwa mpumbavu hutanielewa, speed yako ndio mshahara wako.
Ukijaza nyumba 100 unaondoka na 50000 yako.
Nimeona huu mfumo kwenye makampuni na madukani kariakoo unaboresha sana utendaji na customer care.
 
Ubaya hizi kazi Kuna wengine walidiriki kuhonga kabisa ili wapate kazi, Ila Sasa wanajilaumu bora asiyepata,,, unakuta mtu anatoka home kwake hadi kufika kituo anachotakiwa kufanye kazi ni kilometers 4, hapo hajapewa pesa za usafiri(bodaboda), maji wala chakula, anapigika na jua mchana kutwa hadi jasho linavujia miguuni tena wadada ndo wanatia huruma na hili jua.
Frankly hizi kazi kama mtu uko na Mishe zako za kufanya ukaingiza 5000 - 10,000 ni bora sana kuliko kuhangaika na hizi kazi..
Kuna wadau huku niliko wamevunja mikataba yao na sasa wako na bodaboda zao wanakimbiza mitaani
 
Hiyo ni nyingi saana....kule koromije kwao na brother makonda wanalipwa shilingi 100 kwa kila nyumba......
 
Tule Kwa Urefu Wa Kamba
Epuka Kuvimbiwa Unapokula
 
Side chick wangu amepata Manispaa fulani nyanda za juu huko. Wanalipwa 10k per day na 5k ya bandle per day. Kazi ni siku 15.
 
Back
Top Bottom