CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Mwaka huu kuna possibility tena ikawa kama mwaka jana mvua kidogo, na Dalili zimeishaanza kuonekana.
TMA wanasema mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara itapata mvua chini ya wastani, hii ni hatari kubwa sana, pamoja na mikoa mingine mingi kuwa ya Kilimo, huwezi ku ignore mikoa hii mitatu kwenye kilimo, Wakulima wa hii mikoa mitatu ni wakulima wakubwa sana ambao production yao huwa ina impact kubwa sana kwenye nchi, Maeneo kama Kitetto au Babati, Hanang, Arusha Dc na Kilimanjaro kule kuna mashamba makubwa balaa, ni kawaida kukuta mkulima kalima hekari 600 mahindi,
Sasa kama kaskazini itakuwa tena kama mwaka jana basi tujiandae tena kwa balaa la pili na huenda likawa baya zaidi kuliko la mwaka huu.
Hata kwenye mifugo tutarajia bei za nyama kuzidi kupanda sana na pia vyakula vya mifugo kupanda ziadi na zaidi kiasi cha watu kushindwa hata kufuga.
TMA wanasema mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara itapata mvua chini ya wastani, hii ni hatari kubwa sana, pamoja na mikoa mingine mingi kuwa ya Kilimo, huwezi ku ignore mikoa hii mitatu kwenye kilimo, Wakulima wa hii mikoa mitatu ni wakulima wakubwa sana ambao production yao huwa ina impact kubwa sana kwenye nchi, Maeneo kama Kitetto au Babati, Hanang, Arusha Dc na Kilimanjaro kule kuna mashamba makubwa balaa, ni kawaida kukuta mkulima kalima hekari 600 mahindi,
Sasa kama kaskazini itakuwa tena kama mwaka jana basi tujiandae tena kwa balaa la pili na huenda likawa baya zaidi kuliko la mwaka huu.
Hata kwenye mifugo tutarajia bei za nyama kuzidi kupanda sana na pia vyakula vya mifugo kupanda ziadi na zaidi kiasi cha watu kushindwa hata kufuga.