Kuna hatari ya Posho na nauli za wajumbe wa CHADEMA kutumika Kama rushwa. CHADEMA iweke wajumbe wazi juu ya bajeti hiyo au wanademokrasia wachangie

Kuna hatari ya Posho na nauli za wajumbe wa CHADEMA kutumika Kama rushwa. CHADEMA iweke wajumbe wazi juu ya bajeti hiyo au wanademokrasia wachangie

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
1,856
Reaction score
2,417
Hiyo ni tahadhari naitoa mapema kabla ya mkutano mkuu wa chama Chadema .

Leo imeshuhudiwa vurugu kubwa kwenye Baraza la vijana baada ya kutokuelewana juu Posho zao .

Chama kiweke wazi juu ya bajeti ya mkutano mkuu wa chama , Kama haikuwepo hakukuwa na haja ya kupitisha uchaguzi

Na Kama imelazimu Basi waseme kiasi kinachopelea wazalendo na wanademokrasia watachangia.

Soma Pia: Mjumbe wa mkutano mkuu BAVICHA alilia posho ya kujikimu, 'tuliambiwa tutalipwa ila hadi sasa bado, kwa hali hii tunaweza kuepuka rushwa?'

Hii tahadhari ni muhimu na ipewe kipaumbele maana sehemu wajumbe wanaanza kujaribiwa kwa Rushwa

Pia ikizingatiwa simu iliyovuja ya kiongozi wa Chadema akitaka kujua msimamo wa mjumbe mapema , anaweza kumuweka kwenye list ya watakaokosa Posho

Au wanyime wote lakini kuna ambao Wamepewa zingine kwa mlango wa nyuma
 
Mbowe anaweza kulitumia hii kama turufu kumpiga Lisu KO
 
Mganga njaa wiki tu akipata madaraka kauza chama chote..
njaa baya saana ndugu zangu.
Ni kweli inatakiwa viongozi wetu wanatakiwa wawe mabilionea wasipewe hela na mtoto wa Mama Abd
 
Ni kweli inatakiwa viongozi wetu wanatakiwa wawe mabilionea wasipewe hela na mtoto wa Mama Abd
Mama Abduli ndiyo nani? Msigwa kashasema anataka Lissu ashimde ili CCM ifanye kazi kwa pamoja na CDM mpya.
 
Mbowe anaweza kulitumia hii kama turufu kumpiga Lisu KO
Kama viongozi wenye dhamana wanawapigia wajumbe simu unategemea nini mkuu

Chadema iweke wazi kwamba bajeti ya uchaguzi ipo au haipo ili wasilaze wajumbe mitaroni
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Mama Abduli ndiyo nani? Msigwa kashasema anataka Lissu ashimde ili CCM ifanye kazi kwa pamoja na CDM mpya.
Msigwa Hana Cha kushauri Tena kwenye siasa
Ilikuwa abaki Cdm au ajiuzulu siasa
Kwa Sasa amekuwa kituko
 
Back
Top Bottom