kuna hili kundi la bongo dar es salaam lilikuwa linaonyeshwa tbd1 wako wapi?

kuna hili kundi la bongo dar es salaam lilikuwa linaonyeshwa tbd1 wako wapi?

jane_000

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2012
Posts
547
Reaction score
43
hili kundi la bongo dar es salaam walikuwa wakitoa elimu ya bure japo kuwawalikuwa wanazalilisha jesh la polis kushindwa kumshika yule tapel dude sijui wamepotea wapi wasanii wake walikuwa dude,flora,baki na chidy kuna mtu ana data zao nalipenda sana hata wapi naweza kuwapata hata moja munipe simu kama kunamtu anawajua basi pm
 
Naomba namba za hawa wasanii au wapi nitawapata serious deal

Namba zao sina nenda clouds fm mjengoni wanazo namba za wote hao,muulize zamaradi ukifika atakupa namba za wote hao wasanii unaowataka hadi namba ya kanumba.
 
Namba zao sina nenda clouds fm mjengoni wanazo namba za wote hao,muulize zamaradi ukifika atakupa namba za wote hao wasanii unaowataka hadi namba ya kanumba.
Sitaki kanumba hawajamaa wanaakili kwelli na vile vipindi vyao naweza kuwapa deal
 
Back
Top Bottom