Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Sasa hivi kila kona ukipita utasikia "Damshy" Si makanisani wala Misikitini kote huko utasikia "DAMSHY". Si Wamama wala Wababa kila mtu anasema "DAMSHI"
Hivi hili neno limetoka wapi na maana yake ni nini?????? Maana naona linanikera na huku silielwei
Hivi hili neno limetoka wapi na maana yake ni nini?????? Maana naona linanikera na huku silielwei