Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhe Rais TRA Arusha wameblock baadhi ya machines za EFD za wafanyabiashara hapa Arusha, sijajua ni Arusha tu au Tanzania zima.
Halafu ili wafungue kuna rushwa kubwa wanadai yaani kwa ujumla hili zoezi ni sehemu kubwa ya upigaji unafanyika.
Sijaelewa hapa, maana mtu anaweza uza bidhaa kwa ahadi kuwa atatoa risit siku nyingine.Hii wala si hujuma ni sehemu ya uraratibu wa kukulazimisha kulipa kodi hasa malimbikizo ya nyuma.
Huyu ata kuwa wahusika haoni hii ni hujuma??Hii wala si hujuma ni sehemu ya uraratibu wa kukulazimisha kulipa kodi hasa malimbikizo ya nyuma.
mimi nilishakumbana na adha hiyo ni kweli sikutoa ripoti ya Z kwa siku 3 ikajifunga na nilipokwenda nilitakiwa lipa adhabu nikalipa na ikafunguliwa. Itakuwa ni hivyo ndugu kama hukutoa ripoti ya mauzo siku 3 lazima mashine ijifungeMhe Rais TRA Arusha wameblock baadhi ya machines za EFD za wafanyabiashara hapa Arusha, sijajua ni Arusha tu au Tanzania zima.
Halafu ili wafungue kuna rushwa kubwa wanadai yaani kwa ujumla hili zoezi ni sehemu kubwa ya upigaji unafanyika.
Mtu biashara yake sio ya mauzo kila siku ni hadi upate tenda then ufanye kazi ndio umauzo.hapo hauni akilipishwa pesa ya kutotoa z report ni uonevii??mimi nilishakumbana na adha hiyo ni kweli sikutoa ripoti ya Z kwa siku 3 ikajifunga na nilipokwenda nilitakiwa lipa adhabu nikalipa na ikafunguliwa. Itakuwa ni hivyo ndugu kama hukutoa ripoti ya mauzo siku 3 lazima mashine ijifunge
kwani z report kama hujauza sinatoka zero shida ni nini? tuaache wakati mwingine tafuta sababu ambazo hazina ulazima. Unaambiwa siku 3 usipotoa inajifunga kama hujafanya biashara ukituma ripoti hiyo tatizo lipo wapi.Mtu biashara yake sio ya mauzo kila siku ni hadi upate tenda then ufanye kazi ndio umauzo.hapo hauni akilipishwa pesa ya kutotoa z report ni uonevii??
kwani z report kama hujauza sinatoka zero shida ni nini? tuaache wakati mwingine tafuta sababu ambazo hazina ulazima. Unaambiwa siku 3 usipotoa inajifunga kama hujafanya biashara ukituma ripoti hiyo tatizo lipo wapi.Mtu biashara yake sio ya mauzo kila siku ni hadi upate tenda then ufanye kazi ndio umauzo.hapo hauni akilipishwa pesa ya kutotoa z report ni uonevii??
Kama nilikuwa sijafunguwa biashara kwa siku hizo zote inakuaje?mimi nilishakumbana na adha hiyo ni kweli sikutoa ripoti ya Z kwa siku 3 ikajifunga na nilipokwenda nilitakiwa lipa adhabu nikalipa na ikafunguliwa. Itakuwa ni hivyo ndugu kama hukutoa ripoti ya mauzo siku 3 lazima mashine ijifunge
Umemjibu vizuri sana huyu mla rushwaKama nilikuwa sijafunguwa biashara kwa siku hizo zote inakuaje?