Hahaha daah au itakuwa amepata position kubwa kwenye serikali ya kijani.Kapata ajira mpya, yuko Mpimbwe huko network mzozo.
Kabadili IDMwalimu Mpwayungu Village amepotelea wapi
Trending thread kama
1.Najuta kuzaliwa mwanaume😂✋
Huyu mwalimu yupo wapi amepotelea wapi ndugu mwalimu wa kiswahili.
Hahahaha itakuwa mana amepoa sana tofauti kabisa na alivyokuwa zamani.😂Kabadili ID
Huyo aliingizwa mjini na jamaa mmoja humu ndani nlikuwa namsoma.Mwalimu Mpwayungu Village amepotelea wapi
Trending thread kama
1.Najuta kuzaliwa mwanaume😂✋
Huyu mwalimu yupo wapi amepotelea wapi ndugu mwalimu wa kiswahili.
Huko Mpimbwe ndo wanasalimianaKapata ajira mpya, yuko Mpimbwe huko network mzozo.
Sijui kilimtokea Nini ndugu mwalimuAmepotea sana asee
Kanzu tofauti shehe yule yule 😀😀Kabadili ID
Hahahaha kwamba ameshapoteaHuyo aliingizwa mjini na jamaa mmoja humu ndani nlikuwa namsoma.
Hahahaha ila amepoa japo amebadili kanzuKanzu tofauti shehe yule yule
Hahahaha itakuwa kweliAlikuwa mzee wasira baada ya kulamba teuzi siku hizi yuko bize na siasa
Laana za walimu zimemfanya anaugua ugonjwa wa kukosa pesa na hatimae kushindwa kumudu kumiliki smartphoneMwalimu Mpwayungu Village amepotelea wapi
Trending thread kama
1.Najuta kuzaliwa mwanaume😂✋
Huyu mwalimu yupo wapi amepotelea wapi ndugu mwalimu wa kiswahili.
Hahahaha jamaa alikuwa anahangaika sana na mikopoHuwa anakuja na kuto weka. Hana tena yale makeke yake atakuwa kamaliza mkopo wa kausha damu akili imetulia
Daaah so sadLaana za walimu zimemfanya anaugua ugonjwa wa kukosa pesa na hatimae kushindwa kumudu kumiliki smartphone