Huyu jamaa walim walimkosea nn?!!Mwalimu Mpwayungu Village amepotelea wapi
Trending thread kama
1.Najuta kuzaliwa mwanaume😂✋
Huyu mwalimu yupo wapi amepotelea wapi ndugu mwalimu wa kiswahili.
HahahahaAngalau sasa walimu tunapumua, labda kazolewa na mafuriko!!
Yaani ukiwa na mkopo na ile pesa ukanunua kitu perishable yani u ona kazi unayofanya ni Kama bure tu yaani haulipwi😀Hahahaha jamaa alikuwa anahangaika sana na mikopo
😄😄😄 chupa mpya mvinyo uleuleKanzu tofauti shehe yule yule 😀😀
Chupi mpya makalio yaleyaleHahahaha itakuwa mana amepoa sana tofauti kabisa na alivyokuwa zamani.😂
Hatimaye..nyoka katolewq pangoni🤣Mpwayungu Village nimeona LIKE yako
Mwalimu Mpwayungu Village amepotelea wapi
Trending thread kama
1.Najuta kuzaliwa mwanaume😂✋
Huyu mwalimu yupo wapi amepotelea wapi ndugu mwalimu wa kiswahili.
Hiyo ni ID yake nyingine anajitafuta.Hahahaha kwamba ameshapotea
Kifulu ulianza na Hii ID kisha baadaye baada ya miezi 2 ukaja anzisha ID ya Mpyamungu village?leo unajitafuta.Mwalimu Mpwayungu Village amepotelea wapi
Trending thread kama
1.Najuta kuzaliwa mwanaume😂✋
Huyu mwalimu yupo wapi amepotelea wapi ndugu mwalimu wa kiswahili.