Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,740
- 8,751
Habari wana jamvi?
Mchana huu nilipata kausingizi kadogo. Mara kakanijia kandoto katamu sana, nipo maeneo na dada mmoja ambaye ni jirañi yangu tunakula raha. Mzee bila kuchelewa nikaanza kumpapasa jirani huku nikila mate, mambo yakanoga ikabidi tuvunje amri ya sita. Ila nataka kuanza tu jamaa kaja kuniamsha halafu anaomba kitu cha kipuuzi kabisa. Yaani hapa nna hasira balaa ukizingatia mzigo alionao jirani ningefaidi. Kama kuna mtu anaujuzi wa kunisaidia ili niendelee nayo usiku
Mchana huu nilipata kausingizi kadogo. Mara kakanijia kandoto katamu sana, nipo maeneo na dada mmoja ambaye ni jirañi yangu tunakula raha. Mzee bila kuchelewa nikaanza kumpapasa jirani huku nikila mate, mambo yakanoga ikabidi tuvunje amri ya sita. Ila nataka kuanza tu jamaa kaja kuniamsha halafu anaomba kitu cha kipuuzi kabisa. Yaani hapa nna hasira balaa ukizingatia mzigo alionao jirani ningefaidi. Kama kuna mtu anaujuzi wa kunisaidia ili niendelee nayo usiku