African businesses
Member
- Feb 13, 2024
- 80
- 204
Salama jamani, leo nawakumbusha tu wazee wa ubaya ubwela ule upinzani wa uwanjani uliokuepo kati ya simba na Yanga ni kama haupo tena, yahani Kwa sasa mpinzani wa Yanga nawezakusema ni Azam na Simba wamebaki kama watani wa jadi tu.
Tangu msimu uliopita battle kubwa ilikua ni kati ya Yanga na Azam kuanzia mbio za ubingwa mechi walizokutana wao kwa wao, fainali ya FA na hata club bingwa wataenda wao.
Msimu huu ngao ya hisani wanaenda kubattle wao na hata ukiangalia mbio za ubingwa bado itakua ni battle ya Yanga na Azam
Ukweli mchungu kwa wanasimba timu bado hamna kama mtajifariji kwa performance mlioionyesha jana na kujificha kwenye kivuli cha kujenga timu ni muda ndio utaongea pindi mtapoanza kukutana na kina KMC, kwani derby nyingi timu hukamiana hivyo kuchukua kama ndio kipimo chenu hilo ni kosa kubwa.
Anyway tusiongee sana nadhani jana mwamuzi kawapunguzia lawama kina mangungu ila ukweli ubao ungewaeza kusoma 4 kwa bila
Tangu msimu uliopita battle kubwa ilikua ni kati ya Yanga na Azam kuanzia mbio za ubingwa mechi walizokutana wao kwa wao, fainali ya FA na hata club bingwa wataenda wao.
Msimu huu ngao ya hisani wanaenda kubattle wao na hata ukiangalia mbio za ubingwa bado itakua ni battle ya Yanga na Azam
Ukweli mchungu kwa wanasimba timu bado hamna kama mtajifariji kwa performance mlioionyesha jana na kujificha kwenye kivuli cha kujenga timu ni muda ndio utaongea pindi mtapoanza kukutana na kina KMC, kwani derby nyingi timu hukamiana hivyo kuchukua kama ndio kipimo chenu hilo ni kosa kubwa.
Anyway tusiongee sana nadhani jana mwamuzi kawapunguzia lawama kina mangungu ila ukweli ubao ungewaeza kusoma 4 kwa bila