utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Watafutie ligi yao pekee huko avicUkijaribu kufatilia kuanzia mechi ya Yanga vs Kmc na leo Yanga vs Pamba Jiji utagundua kuna mkakati wa maksudi kuumiza wachezaji wa Yanga ili tarehe 19/10 Wachezaji wengi wa Yanga wawe majeruhi na Simba ipate angalau mteremko kwwnye mechi ya watani wa jadi.
Benchi la ufundi la Yanga lina kazi ya ziada kuhakikisha linaukwepa mtego huu ambao tayari unaonekana kwa macho ya wazi wazi..
Pdiddy umetufuata uto hadi bongo? Hutaambulia chochote!Kama amtaki wachezaji wenu waguswe wakacheze ngono (x).
All the best
Mi sio shabiki oyaoya, Simba waache hii tabia ya kulipa wachezaji wa timu zingine ili waumize wachezaji wa utopoloWewe nae umekua kama mchuzi wa ngomani...uko huku mara huku...
Sema gsm hajatoa hela nzuri..ndugu wanaunizana...Mi sio shabiki oyaoya, Simba waache hii tabia ya kulipa wachezaji wa timu zingine ili waumize wachezaji wa utopolo