Kuna kaukweli hapa?

holy holm

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2017
Posts
4,793
Reaction score
9,101
Hivi ni kweli kwa wale wanachama wa CHAPUTA kua hawawezi kusimama kwa mguu mmoja ndn ya dkk 3? Napenda kujua tu kama ni kwa wote au mtu mmoja mmoja
 
Mmmh!!

Ebu kwanza nijaribu kusimama kwa mguu mmoja kwa dakika tatu kama nitashindwa maana na mimi ni mwanachama wa CHAPUTA

Tena ni katibu mwenezi wa chama
 
Sawa katibu mrejesho ni muhimu
Mmmh!!

Ebu kwanza nijaribu kusimama kwa mguu mmoja kwa dakika tatu kama nitashindwa maana na mimi ni mwanachama wa CHAPUTA

Tena ni katibu mwenezi wa chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…