JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Nawasalimu Ndugu zangu.
Kuna ka upepo fulani kanapita hapa nchini. Kwa siku napokea simu hadi 10 zinaomba hela.
Mimi mwenyewe najaribu kutafuta pesa ila imekuwa ngumu. Kila mtu analia na hata Biashara hazijachangamka kabisa.
Kipindi cha sikukuu kama hiki manunuzi yamekuwa ya chini kulinganisha na miaka mingine.
Waziri wa fedha anajua pesa ziko wapi?. Waziri wa Mipango anasema je?
Je, ni kweli kwamba Vikoba vinaondoa pesa kwenye mzunguko na kuwaacha watu na madeni ya kudumu?
Kuna ka upepo fulani kanapita hapa nchini. Kwa siku napokea simu hadi 10 zinaomba hela.
Mimi mwenyewe najaribu kutafuta pesa ila imekuwa ngumu. Kila mtu analia na hata Biashara hazijachangamka kabisa.
Kipindi cha sikukuu kama hiki manunuzi yamekuwa ya chini kulinganisha na miaka mingine.
Waziri wa fedha anajua pesa ziko wapi?. Waziri wa Mipango anasema je?
Je, ni kweli kwamba Vikoba vinaondoa pesa kwenye mzunguko na kuwaacha watu na madeni ya kudumu?