Kuna kila dalili penzi la Paula na RayVanny litapitia wakati mgumu sana

Atapigwa sana miti na kuzalishwa tu, kuolewa majaliwa tena.
Ukishazalishwa ni nadra Sana kuolewa may be uwe ni binti mwenye pesa mingi au uliyetulia na Wana wakatambua umetulia na uonyeshe heshima Kwa Mme na sio kumvimbia....!! Wadada wengi waliozalishwa huwa na viburi na watoto wao huwa ndo kila kitu aisee hakuna mwanamme mwenye akili timamu anayeweza weka kambi hapo , ni kupiga na kusepa ..!!
 
Wazungu wakiachwa utasikia tu "tumeachana"
Njoo kwa watanzania sasa akipata mpenzi mpya.
"ulinikuta nimeumizwa moyo na kifua, ukanijali na kunipenda, ukanipa heshima ninayostahili, na mpaka mama yangu anakupenda sana, wewe ndio kidume wa kweli, unapanda mnazi mara nyingi, nakupenda sana hubby wangu my love wangu"..
 
Rayvany

Sio kua hawezi kumove on, kinachomuuma ni yeye kuchuma mali na vanny alafu asizifaidi ndo maana analipambania sana kombe lake
Yeye kachuma vipi mali, kachumia kitandani?
 
Yani hizi picha za chui ,nimemwonea tu huruma yani.

Very illusional
 
Ukiwa naye mashauzi kama nini , ooh usinitishe , kama kuachana tunaachana Tu kila mtu njia yake, ukimwacha sasa kila sku kukulilia daah ..!!
 
Ukiwa naye mashauzi kama nini , ooh usinitishe , kama kuachana tunaachana Tu kila mtu njia yake, ukimwacha sasa kila sku kukulilia daah ..!!
Hao wanataka watu kama sie hapo, tusio kwenye screen ndio huwa wanatulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…