Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Kuna mambo yanaendelea kimya kimya yanaweza yasiwafurahishe mashabiki wa simba lakini Mpira ni pesa na pesa ni sabuni ya roho,,tujipe muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
$200K?Tatizo Simba wanataka wamchukue Manzoki free kitu ambacho hakiwezekani, mtu ni top score na kabeba tuzo zaidi ya 4 msimu huu.
Tukubali kutoa hela wanayotaka jamaa mambo yasiwe mengi.
SIMBA sio waropokaji bali mambo yao hufanya kimyakimya na kwa usiri mkubwa sana . zile ramli kwenye jezi zimeisha kwa aibu kubwaKuna mambo yanaendelea kimya kimya yanaweza yasiwafurahishe mashabiki wa simba lakini Mpira ni pesa na pesa ni sabuni ya roho,,tujipe muda
Ngoja waendelee kufanya mambo kimya kimya, kwenye usajili kuna siri? Nyie tulieni ivyo ivyo na ukimya wenuSIMBA sio waropokaji bali mambo yao hufanya kimyakimya na kwa usiri mkubwa sana . zile ramli kwenye jezi zimeisha kwa aibu kubwa
Wewe mkataba wake umeuona uliobakiza miezi 2?Mpira ni pesa ndo ukasajili mchezaji aliyebakiza miezi miwili kwenye mkataba kwa $200K?[emoji23]
Wamsubili dirisha dogo Kama atakuwepo wamchukue bure wanavyotaka🤣🤣🤣 inawezekana wao tu ndo wanamtaka🤣🤣🤣🤣Tatizo Simba wanataka wamchukue Manzoki free kitu ambacho hakiwezekani, mtu ni top score na kabeba tuzo zaidi ya 4 msimu huu.
Tukubali kutoa hela wanayotaka jamaa mambo yasiwe mengi.
Mtu kabakisha miezi 2 mkataba uishe halafu tulipe $200,000?Tatizo Simba wanataka wamchukue Manzoki free kitu ambacho hakiwezekani, mtu ni top score na kabeba tuzo zaidi ya 4 msimu huu.
Tukubali kutoa hela wanayotaka jamaa mambo yasiwe mengi.
Tunweza tukamsajili kama tulivyofanya kwa moses phiri akabaki vipers united hadi msimu uishe akaja unyamani option zipo nyingiNgoja waendelee kufanya mambo kimya kimya, kwenye usajili kuna siri? Nyie tulieni ivyo ivyo na ukimya wenu
Mnamsajilije na mmekosa pesa ya kuvunja mkataba wake? Nani anakusubili upate vya mserereko na wakati wanaomuhitaji ni wengi, vipers sio wajinga Kama unavyofikiriaTunweza tukamsajili kama tulivyofanya kwa moses phiri akabaki vipers united hadi msimu uishe akaja unyamani option zipo nyingi
Sio kwa pesa hiyo wanayoitaka, mchezaji anaipenda simba na kasema wazi wazi, ila vipers wanataka kuikomoa simba.Tatizo Simba wanataka wamchukue Manzoki free kitu ambacho hakiwezekani, mtu ni top score na kabeba tuzo zaidi ya 4 msimu huu.
Tukubali kutoa hela wanayotaka jamaa mambo yasiwe mengi.
Nyie Yanga si mna pesa. Hata kesho mumchukue tyuuh.Mnamsajilije na mmekosa pesa ya kuvunja mkataba wake? Nani anakusubili upate vya mserereko na wakati wanaomuhitaji ni wengi, vipers sio wajinga Kama unavyofikiria
Siri hukoma jambo likikamilika.. Kupayuka payuka huvuruga mengiNgoja waendelee kufanya mambo kimya kimya, kwenye usajili kuna siri? Nyie tulieni ivyo ivyo na ukimya wenu
Aende tu kamq magoli yenyewe anayofunga ndoniliiona youtube! Uto mchukueni tyuKuna mambo yanaendelea kimya kimya yanaweza yasiwafurahishe mashabiki wa simba lakini Mpira ni pesa na pesa ni sabuni ya roho,,tujipe muda
Kwani moses phiri tulimpataje? Walipokuja kucheza na utoh kwenye tamasha lao tukampa pre contractMnamsajilije na mmekosa pesa ya kuvunja mkataba wake? Nani anakusubili upate vya mserereko na wakati wanaomuhitaji ni wengi, vipers sio wajinga Kama unavyofikiria