Kuna Kila Dalili Sukari Kuchakachuliwa

Kuna Kila Dalili Sukari Kuchakachuliwa

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Mi kama mtumiaji mzuri wa sukari wa siku nyingi kuna Kila dalili Sukari ya
Siku hizi imepunguziwa ladha.

Matokeo Yake ili ikolee unahitaji kutumia sukari nyingi kitu kinachopelekea gharama za matumizi ya Sukari kuongezeka.

Sukari inayopatikana Kwa wingi ni kilombero, huu unaweza ni mkakati wa kibiashara ili waweze kuuza sukari Zaidi. Sijajua ni Mimi tu au Hata wengine mmeshaliona
 
Mi kama mtumiaji mzuri wa sukari wa siku nyingi kuna Kila dalili Sukari ya
Siku hizi imepunguziwa ladha.

Matokeo Yake ili ikolee unahitaji kutumia sukari nyingi kitu kinachopelekea gharama za matumizi ya Sukari kuongezeka.

Sukari inayopatikana Kwa wingi ni kilombero, huu unaweza ni mkakati wa kibiashara ili waweze kuuza sukari Zaidi. Sijajua ni Mimi tu au Hata wengine mmeshaliona
Masikini wewe
 
Poleni ambao bado mnatumia sukari, Ni vyema kupunguza au kuacha kabisa matumizi ya sukari, ni hatari kwa afya
Mi nikienda Kwa dokta anaeeza kusema nina upungufu wa sukari. Kwa hiyo kwangu matumizi ya sukari siyo issue.
 
Mi kama mtumiaji mzuri wa sukari wa siku nyingi kuna Kila dalili Sukari ya
Siku hizi imepunguziwa ladha.

Matokeo Yake ili ikolee unahitaji kutumia sukari nyingi kitu kinachopelekea gharama za matumizi ya Sukari kuongezeka.

Sukari inayopatikana Kwa wingi ni kilombero, huu unaweza ni mkakati wa kibiashara ili waweze kuuza sukari Zaidi. Sijajua ni Mimi tu au Hata wengine mmeshaliona
Sio sukari tu, hata soda wamepunguza sukari, Coca-Cola ya zamani utamu wake sio sawa na Coca-Cola ya Sasa, ya siku hizi haina utamu kabisa, wanataka ifanane na Coca-Cola ziro!
 
Ukiweka Sukari na chumvi mimi nitachagua chumvi, sukari inatumika kwenye anasa tu. Mkuu nunua Asali achana na sukari.
Asali nayo ukiitumia Kwa wingi ina madhara zsidi
Sio sukari tu, hata soda wamepunguza sukari, Coca-Cola ya zamani utamu wake sio sawa na Coca-Cola ya Sasa, ya siku hizi haina utamu kabisa, wanataka ifanane na Coca-Cola ziro!
Afu watu wanshindwa kuelewa point yangu, kupunguza matumizi ya sukari ni suala la Mtu binafsi siyo la kiwanda.


Tunachotaka quality ibaki palepale mtumiaji ataamua yeye aweke vijiko 2 au 4. Kinachotokea sasa as if tunauziwa makapi Kwa bei Ile Ile Afu tunarudi Sokoni frequently.
 
Mi kama mtumiaji mzuri wa sukari wa siku nyingi kuna Kila dalili Sukari ya
Siku hizi imepunguziwa ladha.

Matokeo Yake ili ikolee unahitaji kutumia sukari nyingi kitu kinachopelekea gharama za matumizi ya Sukari kuongezeka.

Sukari inayopatikana Kwa wingi ni kilombero, huu unaweza ni mkakati wa kibiashara ili waweze kuuza sukari Zaidi. Sijajua ni Mimi tu au Hata wengine mmeshaliona
HAsa za paketii
 
Kulilia sukari ni utoto kupindukia, unapenda utramu muulize Zuchu.
 
Daah mzee wangu itakua uwanja umeinama sana kwako mpk ukagundua hii kitu,me pia ni mtumiaji wa sukari in daily basis na naish kwny kipimo na sijakutana na hiyo changamoto
 
Mi kama mtumiaji mzuri wa sukari wa siku nyingi kuna Kila dalili Sukari ya
Siku hizi imepunguziwa ladha.

Matokeo Yake ili ikolee unahitaji kutumia sukari nyingi kitu kinachopelekea gharama za matumizi ya Sukari kuongezeka.

Sukari inayopatikana Kwa wingi ni kilombero, huu unaweza ni mkakati wa kibiashara ili waweze kuuza sukari Zaidi. Sijajua ni Mimi tu au Hata wengine mmeshaliona
Ingekuwa amri yangu hata viwànda vya sukari vingefungwa tu, haina faida yoyote.
 
Mnao sema watu watumie Asali inaonekana mko njema sana, hongereni kwenu. Imagine kwa maisha yetu kwa asilimia kubwa huku mtaani hiyo asali utaweka kiasi gani ili ikolee vizuri kwenye maji ya chai lita angalau 2 kwa ajili ya matumizi ya familia nzima, pia mkumbuke na bei ya asali iko vipi sio mnaandika hovyo hovyo tu bila kufikiria jamii zetu ziko katika hali ipi.

Mleta mada binafsi nimemuelewa, ameandika kuhusu kushuka kwa thamani ya bidhaa husika na si matumizi. Kuhusu kutumia ama kutotumia ni juu yako wewe. Yeye kaandika kuhusu ubora.
 
Bwana sukari Imekuwa Poda sio crystallized tena.
 
Daah mzee wangu itakua uwanja umeinama sana kwako mpk ukagundua hii kitu,me pia ni mtumiaji wa sukari in daily basis na naish kwny kipimo na sijakutana na hiyo changamoto
Da yaani wewe Kwa akili yako unaona mimi siwezi kumudu Kununua Sukari.? Kwa hIyo ubora ukiwa sufuri we bora liende.

What we are talking here is quality not quantity take time to find out.
 
Na huko mbeleni tusishangae kumuona bwana sukari akishusha mikono yake chini.
 
Back
Top Bottom