Kuna kila dalili wachambuzi Wasafi FM wamemchoka Maulid Kitenge

Acha upumbavu, GSM ndio anatoa pesa ana haki ya kufanya hayo,Jichange wewe na Shafii mkaidhamini Yanga km mnaweza
Kwannpale utopolo main sponsor ni mdhamini wa herufi 3 tu ? Mnapigwa hamjijui wasikilize wana yanga ambao walikuwa ktk kamati za uongozi ambao waliamrishwa wajiuzulu nafasi zao ndio utaamini mnapigwaaa
 
Ulishawahi kuona Mo anasafiri kwenda kufuata mchezaji nje ya nchi? Ulishawahi kuona Mo amebebwa juu juu kwenye kiti eti amewezesha usajili? Ulishawahi kuona washabiki wa Simba wanashangilia usajili badala ya ushindi?
Ww ulishamuona GSM anaitisha mkutano na waandishi wa habar kuhusu masuala ya yanga tatz mikia hamna kumbukumbu mbona salehe jembe anatuchafua kila siku yanga lakn sijamsikia bumbuli au nugaz anapayuka alimfata Morrison kambin kweny kumuhoj ujinga Leo kitenge kawa mbaya MIKIA semen "VIMEUMANA"
 
Ulishawahi kuona Mo anasafiri kwenda kufuata mchezaji nje ya nchi? Ulishawahi kuona Mo amebebwa juu juu kwenye kiti eti amewezesha usajili? Ulishawahi kuona washabiki wa Simba wanashangilia usajili badala ya ushindi?
Nitajie mkuu usajil wa mchezaj wa nje ambao MO alikamilisha achana na hawa anaowachukua bure natoa ID yangu naweka majina yangu matatu yote naapa
 
Mkishinda vipolo vyenu si mtaongoza ligi.. Sasa pressure ya nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…