Kuna kila dalili watu wakaomba ufanyike ukaguzi maalumu wa matumizi ya ruzuku ya CHADEMA au pengine kutaka isitishwe kutolewa

Kuna kila dalili watu wakaomba ufanyike ukaguzi maalumu wa matumizi ya ruzuku ya CHADEMA au pengine kutaka isitishwe kutolewa

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
2,789
Reaction score
4,951
Naona kuna kila dalili huko mbeleni watu wakadai ufanyike ukaguzi maalumu wa matumizi ya Ruzuku wanayopata CHADEMA. Na dalili kuu ninazoziona mpaka watu kufikia hatua hiyo:

Mosi, watu hawataelewa kabisa matumizi makubwa ya CHADEMA kwa mambo ambayo mengi yao hawaoni umuhimu wake.

Pili, watu watachoka kuona Ruzuku inatumika kufanyia siasa za upotoshaji badala ya kutumika kuujenga mfumo bora wa kisiasa.

Pengine naona hawataona hakuna umuhimu kabisa wa vyama kupokea ruzuku na badala yake Ruzuku ielekezwe kwenye huduma za kijamii na maendeleo ya Taifa.
 
Naona kuna kila dalili huko mbeleni watu wakadai ufanyike ukaguzi maalumu wa matumizi ya Ruzuku wanayopata CHADEMA. Na dalili kuu ninazoziona mpaka watu kufikia hatua hiyo:

Mosi, watu hawataelewa kabisa matumizi makubwa ya CHADEMA kwa mambo ambayo mengi yao hawaoni umuhimu wake.

Pili, watu watachoka kuona Ruzuku inatumika kufanyia siasa za upotoshaji badala ya kutumika kuujenga mfumo bora wa kisiasa.

Pengine naona hawataona hakuna umuhimu kabisa wa vyama kupokea ruzuku na badala yake Ruzuku ielekezwe kwenye huduma za kijamii na maendeleo ya Taifa.
Acha unaa,kama ni mtu utakuwa wewe unayewaonea Gere,kwa jinsi wanavyo wasulubu chawa wa 🍀 na waajiri wao🏃🏃🏃
 
Kwani hiyo ruzuku ipo kwa mujibu wa Sheria, ama mujibu wa huruma? Na ni Nani anayeamua matumizi yake?
 
Naona kuna kila dalili huko mbeleni watu wakadai ufanyike ukaguzi maalumu wa matumizi ya Ruzuku wanayopata CHADEMA. Na dalili kuu ninazoziona mpaka watu kufikia hatua hiyo:

Mosi, watu hawataelewa kabisa matumizi makubwa ya CHADEMA kwa mambo ambayo mengi yao hawaoni umuhimu wake.

Pili, watu watachoka kuona Ruzuku inatumika kufanyia siasa za upotoshaji badala ya kutumika kuujenga mfumo bora wa kisiasa.

Pengine naona hawataona hakuna umuhimu kabisa wa vyama kupokea ruzuku na badala yake Ruzuku ielekezwe kwenye huduma za kijamii na maendeleo ya Taifa.
Sio akafanye special audit, bali akaishi kabisa hapo hapo kwenye ofisi za cdm, lakini ukweli lazima utaendelea kuwekwa wazi. Kama taarifa za CAG zingekuwa na maana hivyo, ripoti ya CAG ya msimu huu isingewekwa pending.

CDM wasiachie, washikilie hapo hapo maana wafuasi wa chama la majizi wameanza vitisho. Magufuli alitumia mbinu hii hii 2020 lakini aliishia kupora uchaguzi
 
Sio akafanye special audit, bali akaishi kabisa hapo hapo kwenye ofisi za cdm, lakini ukweli lazima utaendelea kuwekwa wazi. Kama taarifa za CAG zingekuwa na maana hivyo, ripoti ya CAG ya msimu huu isingewekwa pending.

CDM wasiachie, washikilie hapo hapo maana wafuasi wa chama la majizi wameanza vitisho. Magufuli alitumia mbinu hii hii 2020 lakini aliishia kupora uchaguzi
CCM sio hata watakaotaka ukaguzi maalumu ni wanaCHADEMA wenyewe
 
Naona kuna kila dalili huko mbeleni watu wakadai ufanyike ukaguzi maalumu wa matumizi ya Ruzuku wanayopata CHADEMA. Na dalili kuu ninazoziona mpaka watu kufikia hatua hiyo:

Mosi, watu hawataelewa kabisa matumizi makubwa ya CHADEMA kwa mambo ambayo mengi yao hawaoni umuhimu wake.

Pili, watu watachoka kuona Ruzuku inatumika kufanyia siasa za upotoshaji badala ya kutumika kuujenga mfumo bora wa kisiasa.

Pengine naona hawataona hakuna umuhimu kabisa wa vyama kupokea ruzuku na badala yake Ruzuku ielekezwe kwenye huduma za kijamii na maendeleo ya Taifa.
Kwahiyo watu wanapenda kuwaona chawa wakizagaa kwenye miradi ya kitaifa wakidai pesa ametoa mama Samia! Hapana.
 
Naona kuna kila dalili huko mbeleni watu wakadai ufanyike ukaguzi maalumu wa matumizi ya Ruzuku wanayopata CHADEMA. Na dalili kuu ninazoziona mpaka watu kufikia hatua hiyo:

Mosi, watu hawataelewa kabisa matumizi makubwa ya CHADEMA kwa mambo ambayo mengi yao hawaoni umuhimu wake.

Pili, watu watachoka kuona Ruzuku inatumika kufanyia siasa za upotoshaji badala ya kutumika kuujenga mfumo bora wa kisiasa.

Pengine naona hawataona hakuna umuhimu kabisa wa vyama kupokea ruzuku na badala yake Ruzuku ielekezwe kwenye huduma za kijamii na maendeleo ya Taifa.
Wewe ni shoga ee
 
Naona kuna kila dalili huko mbeleni watu wakadai ufanyike ukaguzi maalumu wa matumizi ya Ruzuku wanayopata CHADEMA. Na dalili kuu ninazoziona mpaka watu kufikia hatua hiyo:

Mosi, watu hawataelewa kabisa matumizi makubwa ya CHADEMA kwa mambo ambayo mengi yao hawaoni umuhimu wake.

Pili, watu watachoka kuona Ruzuku inatumika kufanyia siasa za upotoshaji badala ya kutumika kuujenga mfumo bora wa kisiasa.

Pengine naona hawataona hakuna umuhimu kabisa wa vyama kupokea ruzuku na badala yake Ruzuku ielekezwe kwenye huduma za kijamii na maendeleo ya Taifa.
Yaani watu wakapoteze muda kuhoji ruzuku wanayoipata CHADEMA, ambayo ni kama 10% ya ile inayoliwa na CCM bila ya kuwa na faida yoyote!!

Ni afadhali ruzuku ya CHADEMA inatumika kuelimisha watu, kuliko CCM wanaotumia ruzuku kuwapumbaza wananchi na kuwalipa wanaotetea uporwaji wa bandari.
 
Naona kuna kila dalili huko mbeleni watu wakadai ufanyike ukaguzi maalumu wa matumizi ya Ruzuku wanayopata CHADEMA. Na dalili kuu ninazoziona mpaka watu kufikia hatua hiyo:

Mosi, watu hawataelewa kabisa matumizi makubwa ya CHADEMA kwa mambo ambayo mengi yao hawaoni umuhimu wake.

Pili, watu watachoka kuona Ruzuku inatumika kufanyia siasa za upotoshaji badala ya kutumika kuujenga mfumo bora wa kisiasa.

Pengine naona hawataona hakuna umuhimu kabisa wa vyama kupokea ruzuku na badala yake Ruzuku ielekezwe kwenye huduma za kijamii na maendeleo ya Taifa.
Kuna mamb kadhaa CCM hawataki CDM wapate even if yapo kisheria!! Yaan kila jamb linatafutiwa sababu imagine mikutano tu inawekera mnataman isiwepo milele!! Akili kama za ujima kama Taifa tuna safar ndefu san. Lilikua sakata la uhakiki mali za CCM kipind kile ilikua mshikemshike!! NB; Sipati laiti CDM ndio wangekua wanatawala halafu ufisadi kukicha na kila mwaka cjui ingekuaje!!!
 
Naona kuna kila dalili huko mbeleni watu wakadai ufanyike ukaguzi maalumu wa matumizi ya Ruzuku wanayopata CHADEMA. Na dalili kuu ninazoziona mpaka watu kufikia hatua hiyo:
Hebu tuzione hizi dalili
Mosi, watu hawataelewa kabisa matumizi makubwa ya CHADEMA kwa mambo ambayo mengi yao hawaoni umuhimu wake.
Mfano wa mambo yasiyo ya msingi ni yapi?
Pili, watu watachoka kuona Ruzuku inatumika kufanyia siasa za upotoshaji
Umepotoshwa kwa lipi?
badala ya kutumika kuujenga mfumo bora wa kisiasa.
Unaelewa ☝️☝️hata unachokisema kweli wewe? Huo "mfumo Bora wa kisiasa" unajengwaje eti? Na hiki kinachoendelea kufanywa sasa na CHADEMA ktk ziara zao wewe unadhani ni kitu gani? Wanajenga barabara siyo?
Pengine naona hawataona hakuna umuhimu kabisa wa vyama kupokea ruzuku na badala yake Ruzuku ielekezwe kwenye huduma za kijamii na maendeleo ya Taifa.
Hivi wewe unajua CCM wanapokea shilingi ngapi kwa mwezi kama ruzuku yao? Ni zaidi ya bulioni 3.5!!??

Je, unataka ikatwe ili wafe na wewe ukose hata hiyo buku 7 unayolipwa kwa kuposti umbea wako hapa??
 
Yaani watu wakapoteze muda kuhoji ruzuku wanayoipata CHADEMA, ambayo ni kama 10% ya ile inayoliwa na CCM bila ya kuwa na faida yoyote!!

Ni afadhali ruzuku ya CHADEMA inatumika kuelimisha watu, kuliko CCM wanaotumia ruzuku kuwapumbaza wananchi na kuwalipa wanaotetea uporwaji wa bandari.
CCM wanavuta kwa mwezi zaidi ya 3B
 
Naona kuna kila dalili huko mbeleni watu wakadai ufanyike ukaguzi maalumu wa matumizi ya Ruzuku wanayopata CHADEMA. Na dalili kuu ninazoziona mpaka watu kufikia hatua hiyo:

Mosi, watu hawataelewa kabisa matumizi makubwa ya CHADEMA kwa mambo ambayo mengi yao hawaoni umuhimu wake.

Pili, watu watachoka kuona Ruzuku inatumika kufanyia siasa za upotoshaji badala ya kutumika kuujenga mfumo bora wa kisiasa.

Pengine naona hawataona hakuna umuhimu kabisa wa vyama kupokea ruzuku na badala yake Ruzuku ielekezwe kwenye huduma za kijamii na maendeleo ya Taifa.
Wewe Chadema lazima ikuletee kisukari msimu huu
 
Naona kuna kila dalili huko mbeleni watu wakadai ufanyike ukaguzi maalumu wa matumizi ya Ruzuku wanayopata CHADEMA. Na dalili kuu ninazoziona mpaka watu kufikia hatua hiyo:

Mosi, watu hawataelewa kabisa matumizi makubwa ya CHADEMA kwa mambo ambayo mengi yao hawaoni umuhimu wake.

Pili, watu watachoka kuona Ruzuku inatumika kufanyia siasa za upotoshaji badala ya kutumika kuujenga mfumo bora wa kisiasa.

Pengine naona hawataona hakuna umuhimu kabisa wa vyama kupokea ruzuku na badala yake Ruzuku ielekezwe kwenye huduma za kijamii na maendeleo ya Taifa.
Ungeaanza na CCM kwanza.
 
Nwaka 1995 wakati Mkapa abataifisha NBC Sukita kupitia CCM walikuwa wanadaiwa 13bn na NBC wakati NBC iluzwa kwa 15bn kw makaburu. Mpaka leo leo hiyo fedha haijarudishwa. Isitoshe kila mwaka CCM walikuwa wanapewa 6bn/- toka 1977. Hao ndiyo wanatakiwa wafanyiwe audit ukizingatia walipoifikisha nchi mpaka sasa. Bado watu binafsi kama mimi tunaidai CCM fedha yetu ilyokatwa kwenye mishahara yetu bika idhini yetu kwa sjili ya ujenzi wa ofisi ya makao makuu ys chama Dodoma. Vijana wengi wa CCM hawajui hata history ya chama chao ndiyo maana wanaropoka tu.
 
Back
Top Bottom