Kuna kila viashiria Zelensky atapinduliwa na kuuawa na majenerali wake

Kuna kila viashiria Zelensky atapinduliwa na kuuawa na majenerali wake

State Propaganda

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2024
Posts
542
Reaction score
1,286
Inaaminika siku za kuishi Zelensky zinakaribia kufika ukingoni. Anasema mchambuzi mwandamizi wa maswala ya kivita na siasa za kimataifa Scott Ritter, ambaye nijasusi mstaafu wa US.

Ritter anafafanua zaidi na kusema kuna kila dalili Zelensky atafia mikononi mwa magerali wake.

Ritter anaendelea kusema Majenerali hao ndio watao muhukumu adhabu ya kifo na wao ndio watakaoitekeleza.

Pia soma: LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Kwa sasa uhusiano baina ya amiri jeshi mkuu huyo na viongozi waandamizi katika jeshi la Ukraini akiwemo mkuu wa majeshi Valery Zaluzhny upo katika hali mbaya, hali inayoweza kupelekea jeshi kuasi.

IMG_20240903_111905.jpg
 
Inaaminika siku za kuishi Zelensky zinakaribia kufika ukingoni. Anasema mchambuzi mwandamizi wa maswala ya kivita na siasa za kimataifa Scott Ritter, ambaye nijasusi mstaafu wa US.

Ritter anafafanua zaidi na kusema kuna kila dalili Zelensky atafia mikononi mwa magerali wake.

Ritter anaendelea kusema Majenerali hao ndio watao muhukumu adhabu ya kifo na wao ndio watakaoitekeleza.

Pia soma: LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Kwa sasa uhusiano baina ya amiri jeshi mkuu huyo na viongozi waandamizi katika jeshi la Ukraini akiwemo mkuu wa majeshi Valery Zaluzhny upo katika hali mbaya, hali inayoweza kupelekea jeshi kuasi.

View attachment 3085652
Mkuu wa Majeshi ya Ukraine ni Generali Oleksandr Syrsky na sio Generali Valery Zaluzhny. Generali Zaluzhny alikuwa replaced na Generali Oleksandr Syrsky. Kwa sasa Zaluzhny yupo Uingereza kama Balozi wa Ukraine nchini Uingereza.
 
Inaaminika siku za kuishi Zelensky zinakaribia kufika ukingoni. Anasema mchambuzi mwandamizi wa maswala ya kivita na siasa za kimataifa Scott Ritter, ambaye nijasusi mstaafu wa US.

Ritter anafafanua zaidi na kusema kuna kila dalili Zelensky atafia mikononi mwa magerali wake.

Ritter anaendelea kusema Majenerali hao ndio watao muhukumu adhabu ya kifo na wao ndio watakaoitekeleza.

Pia soma: LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Kwa sasa uhusiano baina ya amiri jeshi mkuu huyo na viongozi waandamizi katika jeshi la Ukraini akiwemo mkuu wa majeshi Valery Zaluzhny upo katika hali mbaya, hali inayoweza kupelekea jeshi kuasi.

View attachment 3085652
Nahisi huyo jamaa aliongea kinyumenyume. Kumbuka jamaa ni jasusi la Kimarekani! Ahahahahaha!!
 
Back
Top Bottom