Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
Ndugu wanajamvi nimeusikiliza wimbo wa msanii anajiita ZAIID unaitwa wowowo. Ni msanii mzuri aliyekuja na wimbo mzuri sana lakini cha ajabu hapati promo kwenye media za Tanzania hata kidogo. Nina uhakika huu wimbo wake angeiimba msanii mwingine maarufu basi ungekuwa wimbo wa taifa. Inawezekana menejimenti ya msanii pia haipo vizuri kwenye maswala ya promosheni lakini media pia za Tanzania zinazingua sana.