Sanaa ni uwekezaji kama uwekezaji mwingine. Unahitahi strategy ili ukupe faida. Kujua kuimba na kuwa na sauti nzuri sio mafanikio ya sanaa ya muziki. Utaishia kusifiwa pasipo kupiga hatua kama huna mbinu za kuupeleka muziki wako mbali.
Namuelewa sana mond kwenye suala la mbinu. Yuko vizuri ndio maana anatusua. Anajua anafanya nini na anataka kiwe nini. Hivyo ndivyo sanaa inataka.
Sio wengine wamebaki kulalamika wakisubiri wabebwe. Kubebwa kwenyewe wanataka wao ndo wafuatwe