jamani jiulizeni huyu mfungwa amefungwa lini na shule alianza lini. wengine gereza linawakuta wakiwa shule. chapili nikuwa miaka yote tunalalamika juu ya hali mbaya magerezani, leo watu wanapewa hali zao za msingi wengine mnafikia kusema mna mashaka na vyuo walivyosoma. mimi ninawasiwasi na elimu ya hawa wenye wasiwasi na OUT pasipokuwa na sababu za msingi. kama wewe ni daktari wa binadamu lazima ujue huwezi kuwa sawa na mwanasheria. aidha usijigambe unafahamu zidi ya mwanasheria.
jiulizeni, miaka yote munaona jinsi mahabusu wanapopelekwa mahakamani walivyokuwa wamechafuka. juzi si mmeona babu seya na wanae walivyopendeza??? mnataka kusema babu seya ana jera ya pekee??? . hayo ni mabadiliko yanayotekea magerezani, ambayo ni matokea ya kukua kwa haki za binadamu.
gereza chuo cha mafunzo, mtu akigraduate afutiwe atolewe gerezani!. hilo sio kweli, hakuna nchi iliyoendelea inafanya hivyo!!!, yawezekana akahamishiwa kifungo cha nje, lakini si kuachiwa huru kwa kigezo cha elimu. chuo cha mafunzo zanibar unafunzwa juu ya kile ulicho kosa , na si kila jambo. mathalani ulivunja myumba ukaiba. upo gerezani umesomea ualimu, kifungo hakiwezi katishwa kwa kuwa una degree ya ualimu.