GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kujiamini kulikopitiliza + Dharau + Furaha = Kutokuamini kwa Kitakachotokea leo kwa Mkapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema lolote GENTAMYCINE ila tukipigwa njoo ufurahie hapa kwenye hii kona ya DUCE kama unaenda kariakoo kwenye baa iliyoko karibu na opposite na kambi ya jeshi la wananchi.Kujiamini kulikopitiliza + Dharau + Furaha = Kutokuamini kwa Kitakachotokea leo kwa Mkapa.
Kwa kutaja Kwako tu kuwa ipo Jirani na JWTZ niseme tu ukweli kuwa sitoweza Kuja Mkuu na Asante kwa Ofa yako.Sema lolote GENTAMYCINE ila tukipigwa njoo ufurahie hapa kwenye hii kona ya DUCE kama unaenda kariakoo kwenye baa iliyoko karibu na opposite na kambi ya jeshi la wananchi.
Kwani kuna mahala popote pale GENTAMYCINE nimesema Taifa Stars itafungwa? Punguza Kiherehere kama Goli la Kwanza la Kibaiolojia sawa?Stars anashinda leo nguvu iliyowekwa siyo mchezo..
1-1 ndani ya Drc Congo walipokuja kwa mkapa 3 tukala ni ayo tuKujiamini kulikopitiliza + Dharau + Furaha = Kutokuamini kwa Kitakachotokea leo kwa Mkapa.
Haya GENTAMYCINE siku nikiwa sehemu zingine karibu na kwa watani zako pale Sokota au Mabibo darajani nitakustuaKwa kutaja Kwako tu kuwa ipo Jirani na JWTZ niseme tu ukweli kuwa sitoweza Kuja Mkuu na Asante kwa Ofa yako.
Cc: Bujibuji Simba Nyamaume
Samahani wewe unacheza namba ngapi kwenye timu ya taifa?Kujiamini kulikopitiliza + Dharau + Furaha = Kutokuamini kwa Kitakachotokea leo kwa Mkapa.
Sawa.Kwani kuna mahala popote pale GENTAMYCINE nimesema Taifa Stars itafungwa? Punguza Kiherehere kama Goli la Kwanza la Kibaiolojia sawa?
Acha ni iscreenshot hii commentKujiamini kulikopitiliza + Dharau + Furaha = Kutokuamini kwa Kitakachotokea leo kwa Mkapa.
Yes channel 225
Au aje hapa gwambina lounge nyuma ya yemen int school nipo apaSema lolote GENTAMYCINE ila tukipigwa njoo ufurahie hapa kwenye hii kona ya DUCE kama unaenda kariakoo kwenye baa iliyoko karibu na opposite na kambi ya jeshi la wananchi.
Shida ya Genta hayo maeneo naona hana amani nako ukizingatia vibaka na kuwa na makambi mengi ya bakabakaAu aje hapa gwambina lounge nyuma ya yemen int school nipo apa
Naona umeshaanza uchuro!!Kujiamini kulikopitiliza + Dharau + Furaha = Kutokuamini kwa Kitakachotokea leo kwa Mkapa.
Uganda sio mafala na wao wanatupigia hisabati kama na sisi tunavowapigia hesabu wao, na wao pia wana nafasi chanya ya kufuzu kwa ivo sio rahisiKujiamini kulikopitiliza + Dharau + Furaha = Kutokuamini kwa Kitakachotokea leo kwa Mkapa.