iron woman
Senior Member
- Apr 22, 2013
- 147
- 19
saiv kuna kitu kinaitwa foundation, hii ni maalumu kwa kuwaanda wanafunz wasiyo na vgezo kupata vigezo vya kufanya koz mbal(2)
Jamani naombeni msaada wa mawazo nina dogo wa kiume kamaliza form four halafu kapata zero sasa kwa akili yake hata nikisema a reseat sidhani kama atatoka sasa nifanyake wandugu naona kumuacha tu nyumbani nitampoteza.
msaada kama kuna kozi naweza mpeleka hata akatumia cheti cha la saba.tafadhali
Huyo ushampoteza sio utampoteza.
Cha muhimu sasa ni kuanza kumtafuta
Ashawahi kufikilia biashara ? Kama ndio muwezeshe ila kama bado, anza kumuandaa kisaikoloji aipende biashara, then mupatie mtaji na muongozo.
Hakika atafanikiwa. Ni unatakiwa ucheze na ubongo pwake tu kumueka sawa
Kumbuka mtoto hachapwi, ananyimwa chakula
Jamani naombeni msaada wa mawazo nina dogo wa kiume kamaliza form four halafu kapata zero sasa kwa akili yake hata nikisema a reseat sidhani kama atatoka sasa nifanyake wandugu naona kumuacha tu nyumbani nitampoteza.
msaada kama kuna kozi naweza mpeleka hata akatumia cheti cha la saba.tafadhali
Jamani naombeni msaada wa mawazo nina dogo wa kiume kamaliza form four halafu kapata zero sasa kwa akili yake hata nikisema a reseat sidhani kama atatoka sasa nifanyake wandugu naona kumuacha tu nyumbani nitampoteza.
msaada kama kuna kozi naweza mpeleka hata akatumia cheti cha la saba.tafadhali