LGE2024 Kuna la Kujifunza katika Daftari la wapiga kula Uchaguzi wa serikali za mitaa

LGE2024 Kuna la Kujifunza katika Daftari la wapiga kula Uchaguzi wa serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Leo nipo Dukani walikuja watu kuni hamasisha nikajiandikishe kupiga kula. Pale Dukani kulikua na watu wengi ila majibu ya baadhi ya watu.

Walisema " Nikajiandikishe Ili iweje wakati Uchaguzi wenyewe matokeo mshayapanga, siwezi kupoteza mda wangu, au kuchomwa na Jua"

Mtu mwingine akajibu " Kachukue Familia yako ijiandike wao to wakipiga kula inatosha" Mwingine akasema bora mda wa kusimama kwenye Foleni nikafanye mambo yangu, maana wao Tayari Wana Maisha.

Kwa majibu hayo machache Niliona kama Hawa watu Hawana Imani na wanachokifanya pia wanaona kama wanachofanya hakina Faida.

Kuna mtu mmoja alisema ukiona Mtu anaangaika na hayo mambo anapata Faida. na pesa ya kula na familia yake.

Pesa hapatati utaangaika kuawatangazia watu au kutembea mitaani kama hivi bila kupata Faida, wao wanafaida na wanachofanya hiyo piki piki wanayobebea watu kwenda kujiandikisha inatembea Bure.

Kwa mtazamo wangu ni kama watu wamekata tamaa na hawaoni Faida ya Uchaguzi Vijana wengi Hawana muitikio wa kujiandikisha kupiga kula.
 
Leo nipo Dukani walikuja watu kuni hamasisha nikajiandikishe kupiga kula.
Pale Dukani kulikua na watu wengi ila majibu ya baadhi ya watu.
Walisema " Nikajiandikishe Ili iweje wakati Uchaguzi wenyewe matokeo mshayapanga, siwezi kupoteza mda wangu, au kuchomwa na Jua"
Mtu mwingine akajibu " Kachukue Familia yako ijiandike wao to wakipiga kula inatosha"
Mwingine akasema bora mda wa kusimama kwenye Foleni nikafanye mambo yangu, maana wao Tayari Wana Maisha.
Kwa majibu hayo machache Niliona kama Hawa watu Hawana Imani na wanachokifanya pia wanaona kama wanachofanya hakina Faida.
Kuna mtu mmoja alisema ukiona Mtu anaangaika na hayo mambo anapata Faida. na pesa ya kula na familia yake.
Pesa hapatati utaangaika kuawatangazia watu au kutembea mitaani kama hivi bila kupata Faida, wao wanafaida na wanachofanya hiyo piki piki wanayobebea watu kwenda kujiandikisha inatembea Bure.
Kwa mtazamo wangu ni kama watu wamekata tamaa na hawaoni Faida ya Uchaguzi
Vijana wengi Hawana muitikio wa kujiandikisha kupiga kula.
Hao ni CDM
 
Dah nchi yangu Tanganyika kimalkia kinatushinda kiswahili nacho pia ni shida!
Na kwa taarifa tu huu siyo uchaguzi mdogo ni uchaguzi wa serikali za mitaa uchaguzi mdogo ni wa kuziba nafasi pale inapotokea aliyekuwepo amefariki au kakosa sifa za kuendlelea kuwa kiongozi
 
Leo nipo Dukani walikuja watu kuni hamasisha nikajiandikishe kupiga kula.
Pale Dukani kulikua na watu wengi ila majibu ya baadhi ya watu.
Walisema " Nikajiandikishe Ili iweje wakati Uchaguzi wenyewe matokeo mshayapanga, siwezi kupoteza mda wangu, au kuchomwa na Jua"
Mtu mwingine akajibu " Kachukue Familia yako ijiandike wao to wakipiga kula inatosha"
Mwingine akasema bora mda wa kusimama kwenye Foleni nikafanye mambo yangu, maana wao Tayari Wana Maisha.
Kwa majibu hayo machache Niliona kama Hawa watu Hawana Imani na wanachokifanya pia wanaona kama wanachofanya hakina Faida.
Kuna mtu mmoja alisema ukiona Mtu anaangaika na hayo mambo anapata Faida. na pesa ya kula na familia yake.
Pesa hapatati utaangaika kuawatangazia watu au kutembea mitaani kama hivi bila kupata Faida, wao wanafaida na wanachofanya hiyo piki piki wanayobebea watu kwenda kujiandikisha inatembea Bure.
Kwa mtazamo wangu ni kama watu wamekata tamaa na hawaoni Faida ya Uchaguzi
Vijana wengi Hawana muitikio wa kujiandikisha kupiga kula.
Vijana wa hovyo watakwambia bora wakapige nyeto kuliko kuchomwa na jua harafu masanduku yabebwe na bunduki.
 
Hali hiyo ndio taswira ya uelewa wa watu walio wengi na hii ndio mtaji wa watala
 
CCM imechokwa sana unajua watu hawana pakutokea ni kama ubabe tu wa democracy......
 
Leo nipo Dukani walikuja watu kuni hamasisha nikajiandikishe kupiga kula. Pale Dukani kulikua na watu wengi ila majibu ya baadhi ya watu.

Walisema " Nikajiandikishe Ili iweje wakati Uchaguzi wenyewe matokeo mshayapanga, siwezi kupoteza mda wangu, au kuchomwa na Jua"

Mtu mwingine akajibu " Kachukue Familia yako ijiandike wao to wakipiga kula inatosha" Mwingine akasema bora mda wa kusimama kwenye Foleni nikafanye mambo yangu, maana wao Tayari Wana Maisha.

Kwa majibu hayo machache Niliona kama Hawa watu Hawana Imani na wanachokifanya pia wanaona kama wanachofanya hakina Faida.

Kuna mtu mmoja alisema ukiona Mtu anaangaika na hayo mambo anapata Faida. na pesa ya kula na familia yake.

Pesa hapatati utaangaika kuawatangazia watu au kutembea mitaani kama hivi bila kupata Faida, wao wanafaida na wanachofanya hiyo piki piki wanayobebea watu kwenda kujiandikisha inatembea Bure.

Kwa mtazamo wangu ni kama watu wamekata tamaa na hawaoni Faida ya Uchaguzi Vijana wengi Hawana muitikio wa kujiandikisha kupiga kula.
Mm binafsi sijiandikishi na kura sipigi mpaka siku wakibadilisha hiii katiba. Over. Sijawahi kupiga kura maana siwez kupoteza muda wangu afu ushindi wanapeana. Hata kiimani ni ujinga tunafanyiana
 
Kiukweli hali ni tete katika hili zoezi , CCM na the sirikali wajifunze kitu hapa. Wananzengo walishasahau kama kuna uchaguzi bongo wanaendelea na busy zao tu.
 
Back
Top Bottom