VPN USED2020OCTOBER28
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,505
- 674
Hizi zote ni hasira za ule uzi wa drama queen.mtatokwa na povu sana,lakin message sentYote hii ni kwa sababu asilimia kubwa ya wanawake ni waongo.
Nywele hakuna - anabandika liwigi.
Kucha za ajabu - anabandika za bandia
Andunje - anavaa viatu vilefu
Mweusi kama kokwa la mchikichi - anatumia mkorogo
Ni shida tupu!
Povu lipi? Mi hiyo drama queen sijaisoma hata, naongea kuhusu niyaonayo!Hizi zote ni hasira za ule uzi wa drama queen.mtatokwa na povu sana,lakin message sent
Unacheka nin[emoji15] [emoji15] [emoji15]Duh,.. Nimecheka sana aisee..
Hata yeye hana kazi, anapata wapi muda kusomaMkuu naona wewe ni attendant mkubwa sana za huyu Mkuu. Mtafutie Dogo kazi.
Pull my hair... Wakati kavaa wigi..Unacheka nin[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Bora wewe huwa huigiziPull my hair... Wakati kavaa wigi..
Hahahahaha daahHizi zote ni hasira za ule uzi wa drama queen.mtatokwa na povu sana,lakin message sent
Nimeipenda hiyo...Hata yeye hana kazi, anapata wapi muda kusoma
Sio kila kitu unachoona kwenye Video ni cha kuiga
jamani... Kuna Wanawake wanazidisha Ufundi na
Machejo Mwishowe Inawatokea Puani... Sijui Ndio
Wamefundishwa kitchen party...
Eti Madai yao ndio wild sex Unaonekana nawewe Upo Nasty On Bed...Vilio Vya Uongo na kweli, ''Oh yeah
slap me haarddd, Bite Meee here,''
Mwingine
anakurupuka ''Yeahh babe pull My Hair I am Coming''....
Hair zenyewe Huna Umevaa Wigi La
buku8... Ndani Una Mabutu 6...Mtu Ka-pull hair Wigi
limeanguka Umebaki na Mabutu Yako Yana MBA wa Mwezi Mzima...Na stimu zinakata... Sijui Utalia Kitu Gani
Next BABY PUT MY HAIR BACK!!! shenzi