mwambie aje NSSF makao makuu,nimpe kakibarua kidogo,Tatizo nahamia Dodoma na kule sina connection. Hebu nisaidie kumuuliza kama ana cheti cha std 7. Manake siku hizi kimekuwa deal
Kweli mkuu vipost vyake vya kitotototo o o o. kila siku yeye na mabinti tu, c ome o oo o oo on, Iget bored dealing with his thread.Huyu dogo mtafutieni ajira...
Ataishia kuanzisha vithread huku.... wakati siku zinaenda tu.