Kwanini uweke miezi sita bila kulitumia?
Nahisi battery itakufa. So angalau kama wewe una safiri muachie mtu funguo hata awe analiwasha kwa dakika 10 linaunguruma hafu analizima.
Ila angekua analitembeza hata dakika 10-20 mara moja kwa week 2-3 itakua salama zaidi.
Kumbuka: Gari sehemu kubwa ni vyuma, sasa vyuma vikikaa vimezubaa mahala ambapo vipakutana na unyevu na hewa ya oksijen vinaweza tengeneza kutu (sio kila mahala, zile sehemu ambazo hazina rangi wala rust-protection), sasa assume zile sehemu ambazo zinazunguka/suguana zikapata kutu, itasababisha ugonjwa.