Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
Haya mafuta yapo mengi madukani yameexpai, chukueni hatua wahusika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafuta ya dronedrake hayo nadhani hili Jambo linabidi kutazamwa kwa Ukaribu zaidi ili kuondoa mchubuko.
Tushakujua mpiga nyeto.
Sasa nikwambiye hayo yanatumika Sana mitaani.Bado unapaka iv vmafuta mzee🙌
Kweli Hakuna anaejali
Maji yanaepaiuliona wapi mafuta au maji yakaexpire
DuuuhSasa tuuh kwa uwelew wak washambia expr ni mwixh wa matumizi xx Kwann isiwe na madhara we jiulize tyuuh apooh nadhani majibu unayo
Dah we jamaaPigia puli, yanaongeza nguvu za kiume.
🤫
jamaa kamposti mke wangu, kisha kasema kaekspayaMafuta ya dronedrake hayo nadhani hili Jambo linabidi kutazamwa kwa Ukaribu zaidi ili kuondoa mchubuko.
Mkuu mafuta ya taa,ya kupikia au kujipaka?
Mafuta ya kupaka.na niliweka picha.Mkuu mafuta ya taa,ya kupikia au kujipaka?