Hivi ni wapi mimi nilijitanabaisha wokovu?
Kwenye post ipi?
Ni sawa sio mbaya...na nimefurahia kuniwazia hivyo ila bado hujaniambia ni katika thread ipi?hahha had nikakutaja bas jua niikusoma sehem tena ukatirirka na vitabu vya dini ukaorodhesha wacha watu waunge tela!anyways sipend kuhumu !nisije hukumiwa na mm ! lakin comment yako ina ukakasi sana
Mtumie mikasi kunyoa nywele za sirini...kuepuka mapele yanayofanya ngozi ziwe ngumu
Ni sawa sio mbaya...na nimefurahia kuniwazia hivyo ila bado hujaniambia ni katika thread ipi?
Halafu kuna kitu gani cha kipuuzi (cha dhambi) ambacho nimekiandika hapa?
Pls nioneshe.
Hahahaha......! I wish ingekuwa hivyo.mh hapana aisee !nimeisahau ni uzi upi mkuu !uliandika na vitabu vya dini na ukasema wewe umeokoka ukasema hutak kujishughulisha na vitu vya dunia umewekeza mbinguni ! labda ni mm tu naiona ina ukakasi ! PEACE
Mkuu haya maneno yakiambatana na picha yatakolea zaidMimi nilishampa ONYO mke wangu kamwe asinyoe hizo nywele kwani ndio raha yangu...huwa nazipunguza tu kidogo ili zisimsumbue waka mti wa kuvaa nguo ya ndani (wakati mwingine zikiwa ndefu sana zinasababisha abanwe na chupi)
Na hadi kwao wanajua kuwa akinyoa tu ni TALAKA inamhusu.
Hata hapa JF nilishaelezea kuwa nilitaka kumtaliki kwasababu hiyo.
Mwanamke mtu mzima ananyoa huko anakuwa kama mtoto mdogo, Stupid!
Mimi wakwangu mara ya mwisho kumnyoa ni mwaka 2014 karibia kabisa na Christmas...sasa ni ndefu hadi zinavutia ila ni SAFI na yeye pia ni msafi.
Raha ya eneo hilo upatafute kwa tochi.
Msimamo wangu ni ule ule.
Nilishawekaga picha mkuu kwny ile thread ya kwanza.Mkuu haya maneno yakiambatana na picha yatakolea zaid
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Unaacha dakika tano tu, shost alizidisha ili kupata matokeo bora, kwa siku mbili alilala na feni kuupoza moto