kuna madhara gani ya kutumia "soy beans"

kuna madhara gani ya kutumia "soy beans"

The hammer

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2011
Posts
2,397
Reaction score
1,786
Naomba mnisaidie madhara ya kutumia maharage ya soya kwa watu wazima na watoto wadogo na namna ya kuondoa sumu kama ipo kwa kua nasikia maharage hayo yana sumu.....
 
Maharage ya soya ni yale Waswahili wanayoyaita "njugu mawe"

Sijawahi kusikia yana sumu, bali nilichosikia ni kuwa ni mazuri kwa kusafisha damu hasa kwa wajawazito
 
ni kweli ktk maharage hayo vipo viini visipothibitiwa hudhuru mwili wa mlaji hujulikana km anti nutritional factors mojawapo na maarufu ni ile iitwayo 'typsin inhubitors' ambayo vinapotumiwa huzuia protein isitumike mwilin mwa mlaji,salama ni kuhakikisha hizo anti nutritional factors zimeangamizwa kwa njia ya joto kwa kuchemsha au kukaanga. kwa ajili ya matokeo mazur, kabla ya kuyachemsha au kuyakaanga ni vyema kuyaloweka majini..soya ni muhumu mwilini kwani ina vitamini A, B complex, C, D, E, G, K na pia soya kg1 ni sawa na na protein ktk mayai 70, na pia kg1 ni sawa na protein ktk nyama kg3 hvyo watu wa asia hutumia maziwa ya soya kulisha watoto wadogo na wazee pia..source;kitabu{TUREJEE EDENI}
 
The hammer Kuna jamaa anaitwa JIM RUTZ (unaweza ku google ukitaka), yeye alikuwa na maoni haya kuhusu maharage ya soya:

There’s a slow poison out there that’s severely damaging our children and threatening to tear apart our culture. The ironic part is, it’s a “health food,” one of our most popular.

Now, I’m a health-food guy, a fanatic who seldom allows anything into his kitchen unless it’s organic. I state my bias here just so you’ll know I’m not anti-health food.

The dangerous food I’m speaking of is soy. Soybean products are feminizing, and they’re all over the place. You can hardly escape them anymore.

I have nothing against an occasional soy snack. Soy is nutritious and contains lots of good things. Unfortunately, when you eat or drink a lot of soy stuff, you’re also getting substantial quantities of estrogens.

Estrogens are female hormones. If you’re a woman, you’re flooding your system with a substance it can’t handle in surplus. If you’re a man, you’re suppressing your masculinity and stimulating your “female side,” physically and mentally.
In fetal development, the default is being female. All humans (even in old age) tend toward femininity. The main thing that keeps men from diverging into the female pattern is testosterone, and testosterone is suppressed by an excess of estrogen.

If you’re a grownup, you’re already developed, and you’re able to fight off some of the damaging effects of soy. Babies aren’t so fortunate. Research is now showing that when you feed your baby soy formula, you’re giving him or her the equivalent of five birth control pills a day. A baby’s endocrine system just can’t cope with that kind of massive assault, so some damage is inevitable. At the extreme, the damage can be fatal.

Soy is feminizing, and commonly leads to a decrease in the size of the penis, sexual confusion and homosexuality. That’s why most of the medical (not socio-spiritual) blame for today’s rise in homosexuality must fall upon the rise in soy formula and other soy products. (Most babies are bottle-fed during some part of their infancy, and one-fourth of them are getting soy milk!) Homosexuals often argue that their homosexuality is inborn because “I can’t remember a time when I wasn’t homosexual.” No, homosexuality is always deviant. But now many of them can truthfully say that they can’t remember a time when excess estrogen wasn’t influencing them.

Doctors used to hope soy would reduce hot flashes, prevent cancer and heart disease, and save millions in the Third World from starvation. That was before they knew much about long-term soy use. Now we know it’s a classic example of a cure that’s worse than the disease. For example, if your baby gets colic from cow’s milk, do you switch him to soy milk? Don’t even think about it. His phytoestrogen level will jump to 20 times normal. If he is a she, brace yourself for watching her reach menarche as young as seven, robbing her of years of childhood. If he is a boy, it’s far worse: He may not reach puberty till much later than normal.

Research in 2000 showed that a soy-based diet at any age can lead to a weak thyroid, which commonly produces heart problems and excess fat. Could this explain the dramatic increase in obesity today?

Recent research on rats shows testicular atrophy, infertility and uterus hypertrophy (enlargement). This helps explain the infertility epidemic and the sudden growth in fertility clinics. But alas, by the time a soy-damaged infant has grown to adulthood and wants to marry, it’s too late to get fixed by a fertility clinic.

Worse, there’s now scientific evidence that estrogen ingredients in soy products may be boosting the rapidly rising incidence of leukemia in children. In the latest year we have numbers for, new cases in the U.S. jumped 27 percent. In one year!

There’s also a serious connection between soy and cancer in adults – especially breast cancer. That’s why the governments of Israel, the UK, Franc and New Zealand are already cracking down hard on soy.

In sad contrast, 60 percent of the refined foods in U.S. supermarkets now contain soy. Worse, soy use may double in the next few years because (last I heard) the out-of-touch medicrats in the FDA hierarchy are considering allowing manufacturers of cereal, energy bars, fake milk, fake yogurt, etc., to claim that “soy prevents cancer.” It doesn’t.
P.S.: Soy sauce is fine. Unlike soy milk, it’s perfectly safe because it’s fermented, which changes its molecular structure. Miso, natto and tempeh are also OK, but avoid tofu.

Kila mtu anasema lake!
 
ni kweli ktk maharage hayo vipo viini visipothibitiwa hudhuru mwili wa mlaji hujulikana km anti nutritional factors mojawapo na maarufu ni ile iitwayo 'typsin inhubitors' ambayo vinapotumiwa huzuia protein isitumike mwilin mwa mlaji,salama ni kuhakikisha hizo anti nutritional factors zimeangamizwa kwa njia ya joto kwa kuchemsha au kukaanga. kwa ajili ya matokeo mazur, kabla ya kuyachemsha au kuyakaanga ni vyema kuyaloweka majini..soya ni muhumu mwilini kwani ina vitamini A, B complex, C, D, E, G, K na pia soya kg1 ni sawa na na protein ktk mayai 70, na pia kg1 ni sawa na protein ktk nyama kg3 hvyo watu wa asia hutumia maziwa ya soya kulisha watoto wadogo na wazee pia..source;kitabu{TUREJEE EDENI}

Suala la kuwa maharage yanazuwia baadhi ya nutrients kufyonzwa na damu, sio kwenye magarage ya soya pekee. Hilo ni kwa jamii ya maharage yote. Hivyo hivyo kwenye unywaji wa chai na chakula.

Inachotakiwa ni kuroweka maharage yako kwa muda na yale maji yaliyorowekewa kuyachuja, kabla ya kuyapika.
 
Back
Top Bottom