Masele Joe
Member
- Sep 8, 2013
- 45
- 4
Kuna mtu aliwahi niambia kwamba ukiweka sukari katika maziwa (hasa maziwa fresh) hupoteza uhalisia na ubora(virutubisho) wake.Pia akasema hata mtu mwenye madonda ya tumbo anashauriwa asitie sukari kwenye maziwa.
Je, hili lina ukweli ndani yake?.
Je, hili lina ukweli ndani yake?.