Kuna madhara kwa mwanamke kumeza manii/shahawa?

je nikimmwagia sperm mdomoni mwenzi wangu atapata madhara gani?...maana yeye huwa anapenda na analazimisha nifanye hivyo...
Kuna tatizo anaweza pata kiafya?

ana ukosefu wa vitamin x....inapatikana kwa wingi kwenye matundu ya mabafu!
 
Mwekee na nyingine kwenye kikopo ajipake cause itamfanya awe na ngozi nyororo.
 
HI' WANAJAMII'

Naomba nipate mawazo yenu,kuna rafiki yangu wa karibu sana, leo jioni ameniomba ushauri kwamba ana mpenzi wake ambaye wamekua wote kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Huyo rafiki yake katika faragha anagusisha sehemu zake za siri na mdomo hadi pale anapomaliza kabisa na kupelekea manii kumezwa na huyo mpenzi wake. Kajaribu kuepusha hilo lakini huyo mpenzi wake hataki kuacha hio tabia.

Jamaa yangu anaomba kujua kama kuna madhara ya mwenzie (yaani mwanamke) kumeza hizo manii.

Nawasilisha.
 
Shahawa ni dawa ya kukuza na kuimarisha nywele, pia ni dawa ya chunusi.
Huyo dada anajipatia tiba mbadala ki kimya kimya
 
Shahawa ni dawa ya kukuza na kuimarisha nywele, pia ni dawa ya chunusi.
Huyo dada anajipatia tiba mbadala ki kimya kimya

hivi unadhani anakunywa hizo sperms kwa sababu hizo mbili ulizotaja
Kama ingekua dawa nafikiri zingenunuliwa kama vocha!
 
Jamani fungukeni basi kama ni dawa nizijaze zangu kwnye chupa nianze biashara ..........
 
Hataki kuachwa huyo nafikiri ni one way of retaining ur customer
 
Kama hakatai kunywa hizo, basi kokote atakakopelekewa,
Mhhhh...!!


SODOMA!
SODOMA!
Jamani SODOMA...!!
 
Watu wangu wanaangamia kukosa maarifa!!!

Wameamua kuzifuata akili zao, wameiacha njia iliyowapasa.
Hapa ndipo utaiona nguvu ya maamuzi ambayo Mungu amempa mwanadam, vinginevyo Mungu asingekua na haja ya kuuacha ule mti pale katikati ya bustani akijua utaleta kizaazaa. Ila nguvu ya maamuzi.:israel:
 
....eti...inasaidia kwnye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula,.

Hizo zinatibu kaswende.
 
ni nzuri kwa afya kwan zina same protein content as normal eggs but different in size.
 
actually sperm ni anti depressant so inapunguza stress levels.
 

show moja inaitwa MANswers kwenye MAX tv ndani ya dstv....pia imeonekana kuwa mwanamke anayeruhusu mwanaume kumwagia sperm ndani ya K yake wanafurahia tendo 30% more than wale ambao hawapati hilo mbolea lol!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…