Kuna madhara kwa mwanamke kumeza manii/shahawa?

Jamani fungukeni basi kama ni dawa nizijaze zangu kwnye chupa nianze biashara ..........
Naona utaanza kazi ya kujichua kutwa nzima ili hiyo chupa ijae na ikijaa,hutosimamisha kwa wiki. Hahahahahah
 
Da jaman hii mpya kwani kama shahawa ni tiba em tuache masihara hivi mungu alikuwa hana akili kuumba mtu na kumpasehem za siri for kukoja and then hapo sex mpaka na mdomo unatumika katika sex kweli kiyama kipo tutakuja angamia vibaya!
 
Hazina madhara ila usizoee sana kufanya hivyo kwani unaweza kumfanya mwenzio akawa bubu!
 
huo ni ushenzi kabisa,Mungu hakuumbia hiyo kitu iingie mdomoni,Kwa nini tunaiga na visivyokuwa na faida kwetu.Naomba umweleweshe huyo bint kama una mpenda.
 
hahahahaha pour it mkuu usjal,by the way protein iliyopo hapo ni zaidi ya tray zima la mayai....na pweza sita...
 
Eeeh hii sasa kali mungu aliumba mdomo kwaajili ya chakula na alipoumba uke chakula chale ni mboo na ukimwaga manii ndani ya uke ndio vizuri,mwambie huyo binti anayetaka ummwagie mdomoni aache uchafu na awe
 
au anasikiliza maneno ya wazushi kuwa hizo kitu zinanenepesha anaona bora azinywe kabisa uwe una mmiminia na kwenye kikombe basi psiiiiiiiiii!


Tehe tehe mwenzio anapalilia kibarua chake kisiote nyasi. Inawezakana mleta mada ndiyo anamwambia asipovuta hiyo pipe nakumeza ataona rangi zote. Ki ukweli mimi nilishashindwa, nahisi kama ni kigezo cha kunipeleka popote bado nipo sana!!
 
je nikimmwagia sperm mdomoni mwenzi wangu atapata madhara gani?...maana yeye huwa anapenda na analazimisha nifanye hivyo...
kuna tatizo anaweza pata kiafya?

ni vyema mkaacha hii tabia au kama mnataka kuendelea nayo endeleani kwa namna ambavyo wanafanya hao mlionakiri kwao........
 
ni dawa ya chunusi pia zina protin za kutosha kwa watumija wa R.V s ni nzuri sana kwani zina caloris za kutosha
 
Mazoea yana taabu! Wanaweza kujikuta wanakosa watoto kwani huyo mwanamke kila muda atataka kumeza kwa mdomo wa kawaida na mwisho wa siku anajikuta anadhulumu ule mdomo wa chini kimoja.. So no babies at all. Ova.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…