Kuna madhara mjamzito wa miezi 6 kunywa pombe?

mama pita

Member
Joined
Jul 20, 2012
Posts
97
Reaction score
139
Kuna madhara yoyote kwa mjamzito wa miez 6 kunywa pombe? Nijuzeni kwa mnaofaham maana stress zimezidi bora ninywe pombe tu.
 
wanadai moja kwa afya, sema wengine mkiruhusiwa hamna breki mnaishia kutuharibia wanetu tu kila leo
 
Usinywe mama pita...pombe haipunguzi stress
 
Kesho njoo ulale kwangu stress zitaisha.
 
Ndio kuna madhara kwa mjamzito kunywa pombe…inasababisha uzae mtoto mwenye FETAL ALCOHOL SYNDROME.Mtoto ambae hatokuwa na development ya kawaida anaweza kuwa central nervous system manifestation kama mental retardation.

Pombe inasababisha mapungufu/kufa kwa neurons kwenye ubongo hatimae kupungua kwa cerebral mass(uzito wa ubongo).

Hali hii inapelekea low intellectuality (mzito kujifunza vitu tofauti), mwenye mapungufu ya social skills, growth deformations (mapungufu kwenye viungo au viungo vyenye mapungufu),cardiovascular deformations(matatizo kwenye moyo) n.k


Watoto wanaozaliwa wazazi wakitumia kilevi wanakuwa na characteristics kama za kwenye picha hapo haswa za uso!
 
Kuna madhara yoyote kwa mjamzito wa miez 6 kunywa pombe? Nijuzeni kwa mnaofaham maana stress zimezidi bora ninywe pombe tu.

Tatizo nini mama? Usijipe stress dada angu hebu furahia hiyo zawadi aliyokupa mungu wengi wanaililia wameejaaliwa kila kitu fedha,majumba,magari ila hawana kizazi.....

Furahia hiyo neema kubwa aliekupa mola wako.........

Umebeba kiumbe kizuri mungu ajaalie awe kila sababu ya kukuweka uwe na furaha maisha yako..

Usijipe stress plz plz kula vizuri,pumzika vizuri na muhimu mazoezi....

Kila la kheir mama kijacho...
 
Pombe kama pombe ina madhara hata kama si mjamzito, ila katika hali uliyo nayo stress hazikosekani kunywa wine at least madhara si kivile
 

Asante kwa kunipa moyo aisee......
 
Kuna madhara yoyote kwa mjamzito wa miez 6 kunywa pombe? Nijuzeni kwa mnaofaham maana stress zimezidi bora ninywe pombe tu.

Pombe mbaya sana kwanza haramu..Naleta magonjwa mengi pressure kisukari ukimwi
 
Nimependa elimu hii naomba unijuze kama mtu ni frequent user wa alcohol kipata ujauzito ni wakati gani mzuri kwake kuacha kabsa kutumia???au ni stage zipi katika ujauzito hutakiwi kabsa kunywa pombe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…