Kuna madhara mjamzito wa miezi 6 kunywa pombe?

Nimependa elimu hii naomba unijuze kama mtu ni frequent user wa alcohol kipata ujauzito ni wakati gani mzuri kwake kuacha kabsa kutumia???au ni stage zipi katika ujauzito hutakiwi kabsa kunywa pombe??

Hakuna stage! ukijua tu una ujauzito epuka kutumia pombe kabisa!hayo madhara niloyotaja baadhi yanatokea kwenye early stage za embryonic development na hata later stages!
 
Achana na pombe kabisa wakati huu ukiwa mjamzito - na ukifaulu tu utaweza kuachana nayo moja kwa moja katika maisha ukipenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…