ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
MhhhWataalam WA afya Nauliza Nina kohozi karibu mwaka wa tatu Sasa. Huwa Nina tabia ya kuli push kwenda ndani ni mara chache Sana nitatema labda niwe nje barabarani Ila nikiwa niko ndani nameza tu. Kuna madhara Gani kama nitaendelea kufanya hivyo
Aki meza hivyo hivyo Kuna madharaUkimeza unakunywa na maji au unameza ivyo ivyo
Kwaiyo anatakiwa anywe na maji?Aki meza hivyo hivyo Kuna madhara
Ushaniharibia hamu ya kitimoto changu..kha.Kwaiyo anatakiwa anywe na maji?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ushaniharibia hamu ya kitimoto changu..kha.
Pole sana mkuu kwa tatizo ulilonalo. Usipende kumeza makoozi yatakuletea magonjwa ya tumbo......jitaidi uwe unayatema. Pendelea kutafuna tangawizi na vitunguu swahumu utapona kwa mda mchache niamini mimi.Wataalam WA afya Nauliza Nina kohozi karibu mwaka wa tatu Sasa. Huwa Nina tabia ya kuli push kwenda ndani ni mara chache Sana nitatema labda niwe nje barabarani Ila nikiwa niko ndani nameza tu. Kuna madhara Gani kama nitaendelea kufanya hivyo