Kuna madhara ya kumeza koozi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Wataalam WA afya Nauliza Nina kohozi karibu mwaka wa tatu Sasa. Huwa Nina tabia ya kuli push kwenda ndani ni mara chache Sana nitatema labda niwe nje barabarani Ila nikiwa niko ndani nameza tu. Kuna madhara Gani kama nitaendelea kufanya hivyo
 
Wataalam WA afya Nauliza Nina kohozi karibu mwaka wa tatu Sasa. Huwa Nina tabia ya kuli push kwenda ndani ni mara chache Sana nitatema labda niwe nje barabarani Ila nikiwa niko ndani nameza tu. Kuna madhara Gani kama nitaendelea kufanya hivyo
Mhhh
 
Ukimeza unakunywa na maji au unameza ivyo ivyo
 
Wataalam WA afya Nauliza Nina kohozi karibu mwaka wa tatu Sasa. Huwa Nina tabia ya kuli push kwenda ndani ni mara chache Sana nitatema labda niwe nje barabarani Ila nikiwa niko ndani nameza tu. Kuna madhara Gani kama nitaendelea kufanya hivyo
Pole sana mkuu kwa tatizo ulilonalo. Usipende kumeza makoozi yatakuletea magonjwa ya tumbo......jitaidi uwe unayatema. Pendelea kutafuna tangawizi na vitunguu swahumu utapona kwa mda mchache niamini mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…