Kuna Madhara ya kunywa flygiln na Pombe?

dorin

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2010
Posts
267
Reaction score
285
Naombeni kujua Madhara ya kuchanganya dawa aina ya flygyl (flajin) na kilevi
 
Flagly ni hatar ukichanganya na pombe unaweza fariki ama ikakuletea ugonjwa ini, kuna jirani yangu alishakunywa pombe na flag hakufa ila alianza kuvimba mwili na ngozi kubabuka na kutoka magamba kama nyoka,wiki kama 3 hivi tumemzika
 
Naombeni kujua Madhara ya kuchanganya dawa aina ya flygyl (flajin) na kilevi
Swali lako ni straight sana. Inaashiria unajua jibu la swali lako.

Anyway, hiyo dawa ni hatari sana kuchanganywa na kiasi chochote cha pombe. Niliwahi kumpoteza mwalimu wangu aliyekunywa Flagyl asubuhi na jini yake akanywa pombe. Kama umekunywa Flagyl, kaa mbali kabisa na pombe.......
 
ponbe ni dawa ya kuondoa msongo wa mawazo na flagyl ni antibiotic inayotibu bacteria aina ya anaerobe

Kuna Mtu alikua natuuzia Chai eti kanywa Flygyl 6 na Konyagi
 
Mkuu ukitumia hivo utatusumbua tu kwenye kucganga rambirambi
 
utapata disufiram effect kisha utafariki

you must be a Dr. by proffesion. Nimeisoma hiyo Disufiram ni hali ambayo mtu anaipata kama ametumia dawa inayomzuia kunywa pombe
 
you must be a Dr. by proffesion. Nimeisoma hiyo Disufiram ni hali ambayo mtu anaipata kama ametumia dawa inayomzuia kunywa pombe
Ni elimu kwa jamii tu mpenzi
 
Hakuna madhara mkuu usiwasikilize hao wewe meza tutena na grants whisky kabisa mkuu itapendeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…