dudupori
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 1,795
- 1,914
Habari wadau, nimeanza kamradi ka ufugaji wa mbuzi hivi karibuni ila tatizo kuna baadhi ya mbuzi pembe zao zina ncha kali hivyo naona kama zinahatarisha wao kwa wao kuumizana, nimepata wazo la kuwapunguza pembe hivyo naomba ushauri ikiwa kutakua na madhara kwani umri wao ni zaidi ya mwaka mmoja...